ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
wewe umekuwa kilaza tayar yaani unafananisha UDSM Na VYUO VYA VILAZA HIVI PAMBAF
mh....eee mungu tuepushe na hili janga la taifa!!
wewe umekuwa kilaza tayar yaani unafananisha UDSM Na VYUO VYA VILAZA HIVI PAMBAF
kuna jamaa mmoja rafiki yangu jina mabanoni alifaulu form six na akachaguliwa chuo kimoja kiko dodoma akamwambia baba yake huko kijjn kwamb amefauru na amechaguliwa na kujiunga na chuo hicho. Baba yake akamwambia hongela sana mwanangu umejitahidi sana na sasa kazana kusona mpaka ufike chuo cha mlimani mwana alijickia vbaya kweli. UDSM HAIFANANISHI.
Chuo bora ni kichwa yako tu.
vyote vizur
eti na yeye kapost
watu ambao wamekoment vibaya hii thread ni wale ambao vyuo vyao havija andikwa tehethetehe
Chuo bora ni SUA na branch yake MUCCoBS basi sabab vina wastan mkubwa na coz nyingi za kipekee! Mfano. Degree of forest ipo sua only, degree of microfinance and enterprise dvp ipo muccobs only