johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
- Thread starter
- #101
Kwani Membe alifukuzwa na watu wangapi kule CCM?Walifukuzwa na kigenge cha watu wachache wanaojiita kamati kuu akina Mdee wakapinga kufukuzwa huko wakapeleka rufaa baraza kuu hadi Leo baraza kuu halijakaa
Katiba ya Chadema imeweka wazi taratibu za MTU kufukuzwa uanachama kuwa process itakamilika mkutano mkuu .Swala LA akina Mdee process haijakamilika.Baraza kuu halijakaa kuridhia na mkutano mkuu haujakaa kuridhia in mpaka hapo baraza kuu na mkutano mkuu utakapokutana na kuridhia ndipo wale watahesabika wamefukuzwa uanachama
Nenda kasome katiba ya chadema kuhusu kazi za baraza kuu na mkutano mkuu