Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Samahani ndugu zangu na poleni na majukumu, leo kulikuwa kuna mada kati ya simu za One Plus na Samsung kuna mdau mmoja amesema kwa sasa hivi samsung haingizi mguu kwa oneplus, vigezo vilikuwa upande wa Kamera na nguvu (powerfully) naomba kujua kati ya Samsung na One Plus simu ipi ina uwezo mkubwa kwa upande wa camera na nguvu?
Samahani kwa maelezo marefu na kiswahili kama ni kibovu.
Samahani kwa maelezo marefu na kiswahili kama ni kibovu.