AlphaMale_
Senior Member
- Aug 12, 2023
- 187
- 429
Habari ndugu zang Mlio wahi kusafiri East Africa hasa Kenya
Naomba kujua Mombasa na nairobi wapi pana mfaa mtafutaji?
Naomba kujua Mombasa na nairobi wapi pana mfaa mtafutaji?
kivip? hao wana saka binadamu au?Unatafuta nini? Ili tukushauri vizuri..
Maana kama huko Mombassa ukiwa mtafutaji usiekuwa na mipango unakutana na Watatuaji.
why wote mko kwenye malinda???Mombasa easy to get and easy to loss malinda..
Nairob hard to get money but hard to loss malinda....
Noted
Mombasa=malindawhy wote mko kwenye malinda???
Iwapo ukienda mombasa Ukicheza pool unapogonga kete usipende kuinama hususani kukiwa na wakulungwa nyuma yako wanaotazama pool tafuta namna ya kucheza lakini usiinamename hovyo unaweza kuwa compromised
Akizingqtia ushauri wangu hatagombana na watu wasumbufu tatizo litaanzia pale watakapokuwa wanamtaka halafu yeye hataki
Nimecheka kifala
Siku hizi Jf imeja wajinga sanaMtu anauliza mambo ya msingi nyie mnaleta ukuda, hivi mmekuwa nini lakini? Mbona ni watu wazima lakini hovyo sana, inasikitisha sana aisee!
Uko nje ya maada, unawaza kupgwa miti? nazani Daily unapigwa mitiMombasa! Hila chunga sana malinda yako
walikutatua kwa staili gani ili jamaa ajilende? mfuate PM mueleze jinsi walivuo kutatua na ulikosea wapiUnatafuta nini? Ili tukushauri vizuri..
Maana kama huko Mombassa ukiwa mtafutaji usiekuwa na mipango unakutana na Watatuaji.
Ndivuo ilipoteza malinda yako? pole sana ila mfuate Pm umpe ushauri ajichunge wapi asipoteze malinda kama wewe, kwa mara nyingine pole sanaMombasa easy to get and easy to loss malinda..
Nairob hard to get money but hard to loss malinda....
Noted
isha watokea, sema tu watu wanatumia fake ID ila hao walisha tatuliwa kitambo sana ndio maanawhy wote mko kwenye malinda???
Hawa ni waajiriwa mkuu, wanategemea Mshahara sasa mtu akileta maada serious lazima waue kuiharibu makusudi, huhitaji Degree kujua wanao haribu post humu ni wa aina ganiMtu anauliza mambo ya msingi nyie mnaleta ukuda, hivi mmekuwa nini lakini? Mbona ni watu wazima lakini hovyo sana, inasikitisha sana aisee!