Kati ya Mombasa na Nairobi wapi panamfaa mtafutaji?

Unatafuta nini? Ili tukushauri vizuri..

Maana kama huko Mombassa ukiwa mtafutaji usiekuwa na mipango unakutana na Watatuaji.
walikutatua kwa staili gani ili jamaa ajilende? mfuate PM mueleze jinsi walivuo kutatua na ulikosea wapi
 
Mombasa easy to get and easy to loss malinda..
Nairob hard to get money but hard to loss malinda....
Noted
Ndivuo ilipoteza malinda yako? pole sana ila mfuate Pm umpe ushauri ajichunge wapi asipoteze malinda kama wewe, kwa mara nyingine pole sana
 
Mtu anauliza mambo ya msingi nyie mnaleta ukuda, hivi mmekuwa nini lakini? Mbona ni watu wazima lakini hovyo sana, inasikitisha sana aisee!
Hawa ni waajiriwa mkuu, wanategemea Mshahara sasa mtu akileta maada serious lazima waue kuiharibu makusudi, huhitaji Degree kujua wanao haribu post humu ni wa aina gani
 
Back
Top Bottom