Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,132
Mwisho wa Siku wote wanawapigia salute wanasiasa, akiwamo mkuu wa Mkoa.
Mwisho wa Siku wote wanawapigia salute wanasiasa, akiwamo mkuu wa Mkoa.
Usichukulie poa kwa kila unayemuona humu jf.Sitaji ng'o
CDF ndio overall in charge wa ulinzi na usalama wa nchi.CDF na mkurugenzi wa usalama wa taifa nani yupo juu hapo ?
Atatoa order IGP, mambo yanapomzidi ama ataomba msaada akapewa askari ambao watakua chini yake kama ilivyotokea mapango ya Amboni au bila kuombwa msaada CDF anaweza kuingiza vikosi vyake kutuliza ghasia na hii ikitokea IGP atapokea amri toka kwa CDFNa kukiwa na vurugi ndani ya nchi, nani mwenye mamlala ya kutoa order??
Vipi hapa:
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na Mkuu wa Mkoa Mbeya yupi mkubwa?
Asante sana mkuu
jeshi LA polisi lipo ndani ya wizara ya mambo ya ndani pamoja na magereza,zimamoto na uhamiaji,jeshi LA wana nchi lipo wizara ya ulinzi ivyo wote ni wakubwa kwa nafasi zao acha kudanganya polisi aipo ndani ya Jwtz
Sio Kweli kwamba IGP ni Mkuu wa vikosi vya usalama hapo ndo unapokosea. Kama ni hivyo kwa nini CDF asiwe Mkuu wa Polisi kwa sababu Anaitwa anaitwa Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.Kama umesoma andiko langu vizuri utanielewa nimesema
kuhusu CDF
" CDF huyu ni kiongozi wa majeshi ya Ulinzi tu ambapo ndani yake kuna kamandi 4 ambapo kila kamandi kuna mkuu wake ambapo wote wanareport kwa CDF"
Kuhusu IGP nimesema
" IGP ni kiongozi wa vikosi vya usalama ambapo vipo 4 lakini ndani ya vikosi hvyo kuna wakuu wake
1 Police
2 Uhamiaji
3 Magereza
4 Fire"
Ukiangalia kwenye CDF kamandi zote wakuu wake (WANAREPORT) kwake pia na wakuu wa kamandi hzo wanateuliwa na Rais
kwenye IGP hakuna neno (KUREPORT) kwa IGP kwa wakuu wa vikosi hvyo vya Usalama nadhani tofauti umeiona hapo vikosi vyote hyo vya Police, Uhamiaji, Fire na Magereza vyote vipo ndani ya wizara moja ya mambo ya ndani na wote kazi zao zinategemeana ukiangalia Uhamiaji hawana Sero za kuwaweka wahamiaji haramu lazima watawekwa kwenye Sero za Police na kutoka Police ni mahakamani from there utakutana na Magereza kuhusu Fire hawa ni kama Police tu ndio maana unaweza kuona mkuu wa Fire alikuwa ni Police tena kutoka vikosi vya polisi kabisa na unaposema Seniority hapo wote seniority wao ni IGP
Mkuu mbona mnampatia CDF cheo ambacho si chake? Hakuna cheo kinachoitwa mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama bali kuna cheo cha amiri jeshi mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama ambae ni Rais bhasiSio Kweli kwamba IGP ni Mkuu wa vikosi vya usalama hapo ndo unapokosea. Kama ni hivyo kwa nini CDF asiwe Mkuu wa Polisi kwa sababu Anaitwa anaitwa Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.
IGP ni kiongozi wa Polisi tu, kila jeshi hapo Linajitegemea. Ila IGP ni senior Kwa hao wengine kwa mujibu Wa seniority ya kijeshi. Kama ilivyo kwa CDF alivyo senior kwa IGP. Kuingiliana kwa majukumu ya Magereza na Polisi na Uhamiaji hakufanyi kuwa Mkuu wa hayo majeshi.
Kila Jeshi likisha pewa Mamlaka Linajitegemea. Wakati wa KAR jeshi lilikuwa moja na Polisi walikuwa ndani yake pamoja na magereza. Polisi ilipoanzishwa Magereza ilikuwa ndani ya Polisi. Magereza ilipoanzishwa ikatoka ikawa idara then Jeshi kamili. Hivyo wanajitegemea hakuna uhusiano wa madaraka zaidi ya kazi na seniority ya kijeshi tu.
Unapozungumzia usalama kumbuka hata TISS wapo humo, je IGP ni kiongozi wa TISS??
Huelewi kitu na ndio maana mnatusumbua humu kuwaelimisha.
Unaelewa kuna Jeshi la Nchi kavu(infantry),Jeshi la Anga(airforce),Jeshi la Majini(navy),Jeshi la kujenga Taifa nk?.
Hivi unaelewa Jeshi la Nchi kavu halina Ndege vita hata moja?
Hivi unaelewa Jeshi la Anga halina Kifaru hata Kimoja ?.
Kwa taarifa yako Jeshi sio lazima liwe na Kifaru,Ndege au Submarine(Nyambizi).
Marekani wapo wenye akili kama zako wanaamini Jeshi lazima liwe na Ndege zisizo na Rubani(drones) pamoja na Makombora ya Nyuklia.Wanaamini Afrika hakuna nchi yenye Jeshi.
Jwtz wakienda kushambulia majambazi watatumia mbinu za kijeshi walizofundishwa depo .so hawatapokea order kutoka kwa polisi na pia polisi hawatahusika maeneo hayoJiongeze tena kidogo kwamba kama JWTZ wakienda kufanya kazi za Polisi kama kushambulia majambazi au kusimamia uchaguzi wanakuwa na vyeo gani na nani anakuwa link ili waelewane kwenye mbinuna nani anatoa order?
F******##### James delicious mkubwa weweUsichukulie poa kwa kila unayemuona humu jf.
Kuwa na Vifaa ni swala la aina ya kazi.Haimaanishi kwa sababu ana vifaa ndio awe mkubwa kwa idara zisizomhusu.
Hata General wa Jeshi la Marekani anaongoza Jeshi lenye vifaa hatari sana duniani na vifaa vyao vinalizidi Jeshi letu kwa mbali sana lakini haina maana kwamba Jenerali wa Marekani ni Mkubwa kwa Jenerali wa Tanzania au Brigedia wa Jeshi la Marekani ni mkubwa kwa Brigedia wa Jeshi la Tanzania.Heshima inabaki palepale bila kujali idadi za Zana za Kivita unazomiliki.
Unajisikiaje unaponitolea matusi wakati sijakutukana?F******##### James delicious mkubwa wewe
Jamani Naomba mnisaidie kati ya Mkuu Wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania kwa sasa generali Mabeyo na Mkuu wa polisi nchini kwa sasa IGP Mangu ni nani mkubwa kumzidi mwenzake kikazi?
Sio kweli kama police sio defence force au twende kwa kiswahili tutaelewana CDF ni kamanda wa vyombo vya ulinzi na usalama ambayo inajumuisha JW, JKT, Mgambo, TAKUKURU, USALAMA, POLICE, PRISON, FIRE na UHAMIAJICDF ni Chief of defence force(Military force),
Polisi sio defence force!
Haa ha ha umeuliza swali zuri sana ambalo jibu lake ndilo jibu la swali husika.kati ya waziri wa ulinzi na waziri wa mambo ya ndani nani mkubwa? tuanzie hapo kwanza