Kati ya mkibosho na mmarangu????

Kati ya mkibosho na mmarangu????

Kabla sijakujibu swali lako naomba nijue kwanza wewe ni Chasaka au!?
 
Wewe ulikuwa nao wote wawili wa lengo gani? Kama ni kwa kuwasoma tabia majibu unayo Na wala so kuangalia ametokea Wapi. Anglia aliyekuridhisha Na mwenendo wake vuta jiko.

Mawazo mazuri sana haya achambue kulingana na matendo aliyoyaona maana characters zao alisoma vizuri sana.
 
...we ndio umeishi nao, wewe ndio unazijua tabia zao....leo unakuja kuuliza yupi bora Kati yao!!!!
 
apo kwa mmarangu kaka sikushauri hata maaana ni full majanga wewe mwenyewe shahidi
 
Kama unajihisi wewe ni msomi piga chini kibosho chukua mmarangu, lakini kama wewe ni wa elimu ya chini na shughuli zako si za kisomi somi achana na huyo mmarangu maana huko mbeleni utadharaulika sana.........mimi ni mkibosho

Nakuunga mkono sana Mnama,hilo jibu latosha kabaisa aisee...ni aufanyie kazi ushauri sasa,
 
oa kibosho achana na marangu pasua kichwa dharau na majivuno atakusumbua
 
cha msingi hapo oa unaye mpenda na nani kamzidi mwenzie tabia nzuri na matendo hayo mengne hayana msingi kuyajadili sana
 
Aisee naona wanawake wa kichaga wanazidi kupanda dhamani kama dolari ya america, ni nini siri yake jamani mbona mimi sielewi mwenzenuu...!?
 
Mmarangu anaringa/nyodo, halafu ni wachoyo sana hata kama kwao hawana choo!

Kibosho washari baba!
 
Kama unajihisi wewe ni msomi piga chini kibosho chukua mmarangu, lakini kama wewe ni wa elimu ya chini na shughuli zako si za kisomi somi achana na huyo mmarangu maana huko mbeleni utadharaulika sana.........mimi ni mkibosho

Mkuu wanaume nao wakoje wamarangu lakini
 
Ni Chasaka huyo....

Sio chasaka huyo! Jina analotumia ni la kichaga. Huyo ni mchaga wa marangu kafika njia panda hajui aende upande upi! Tupinge kwa nguvu zote dada zetu kushalilishwa
 
Back
Top Bottom