menyidyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 1,339
- 194
Ndugu zangu wajf, baada ya marumbano na minyukano baina ya MBOWE na ZITTO. Sasa naomba mwongozo wenu wanajf kwa kuuliza maswali yafuatayo:-
(a) Nini chanzo cha mgogoro wao!
(b) Mgogoro wao ni kwa maslahi ya nani?
(c) Kwa nini wanarumbana ktk kila kitu?
(d) Nini maslahi ya chama na wanachama ktk mgogoro huo?
(e) Je nani yuko sahihi?
Naomba kuwakilisha.
Wanamgombea dada yako aaah namanisha mke wako. wape watatulia.