Kati ya Mbowe na Slaa nani msaliti?

Kati ya Mbowe na Slaa nani msaliti?

hawa wapinzani wanafikiri watu wote akili zao za nyumbu toka walipompokea lowasa na mwanahalisi likajigeuza mtetezi wake nimeacha kushabikia upinzani wa tanzania kwani uko kimaslahi zaidi wote wanafikiria namna gani wataenda ikulu na kupiga dili na sio kumkomboa mtanzania ndio maana sasa hivi wamegeuka watetezi wa majipu yanayotumbuliwa
 
Kuna mambo ya kipuuzi unaweza kulia hadharani kama unaipenda kweli nchi yako. Hakuna anayeona hili wala kutafakari. Wakati ule tulitukanwa matusi yote. Kuna wazalendo wengi waliokuwa wanaleta nondo humu ambazo zingine zilisaidia kupaisha upinzani wameacha kuchangia lolote humu. Wengine kipindi cha uchaguzi walichanganyikiwa na upepo uliotokea ambao hauelezeki. Kwa ufupi CCM watatuadhibu miaka mingi ijayo kama tukiendelea kushupaza shingo jahazi lisonge bila kurudi chini kujiuliza na kujirekebisha.
Wewe unaandika haya ukijua kabisa mfumo wa tume ya uchaguzi ulivyo. Wenzio wanalindwa na mfumo wa dola katika siasa zao, wapinzani je? Binafsi nawapongeza kwa hapo walipofikia kwani wame "sacrifice" mambo yao mengi sana ambayo wewe na mimi hatuwezi.
 
Wewe unaandika haya ukijua kabisa mfumo wa tume ya uchaguzi ulivyo. Wenzio wanalindwa na mfumo wa dola katika siasa zao, wapinzani je? Binafsi nawapongeza kwa hapo walipofikia kwani wame "sacrifice" mambo yao mengi sana ambayo wewe na mimi hatuwezi.

 
Heshima yako mkuu,

Haya mambo magumu sana. Hasa tunapoongelea maisha ya mtu. Wengi hatupeni kuongelea. Na hili ni tego kwangu hata kwako.
Nyie siku zenu za kutumikia tumbo zinahesabika maana akishachukua kofia ngosha hapo lumumba hapatakalika tena
 
Wewe unaandika haya ukijua kabisa mfumo wa tume ya uchaguzi ulivyo. Wenzio wanalindwa na mfumo wa dola katika siasa zao, wapinzani je? Binafsi nawapongeza kwa hapo walipofikia kwani wame "sacrifice" mambo yao mengi sana ambayo wewe na mimi hatuwezi.
Hongera sana kwa kuutambua mchango wao mkuu
 
Wow!! Bonge la flashback. Kongole. Yes, Mbowe ndo msaliti. Yooote tisa, kumi ni hiyo para ya mwisho. Ilikuwaje wasomi walioko cdm wakaingia katika mtego mwepesi wa kubadili gia angani? Ilishangaza sana. Hata hivyo ilikuwa chereko chereko na nderemo kwa ccm hadi ushindi.
 
Back
Top Bottom