Kati ya Mbeya, Iringa au Songea ni sehemu gani sahihi kuwekeza?

zeeble

Member
Jan 4, 2022
34
30
Salamu zenu wakuu, natumai mu wazima.

Nina uhitaji wa kufahamu kiundani zaidi, upi kati ya mkoa tajwa hapo juu una fursa za uwekezaji?

Nafahamu mikoa hiyo ni mashuhuli kwa vilimo mbalimbali. Je, biashara gani ya kufanya huku ukiwa unajihusisha na kilimo? kilimo gani, wilaya gani?

Sipendelei maeneo ya mjini. Naombeni mnisaidie kijana mwenzenu nakipenda kilimo japo nimekuzwa mjini ila nia thabiti, ninayo shida pa kuanzia.
 
Kila sehemu ni nzuri kwa ajili ya uwekezaji. Ndio maana kila sehemu kuna wawekezaji. Au wewe ushaona sehem haina wawekezaji?
 
Kila sehemu ni nzuri kwa ajili ya uwekezaji. Ndio maana kila sehemu kuna wawekezaji. Au wewe ushaona sehem haina wawekezaji?
Unachosema ni sahihi, lakn kabla hujafanya uwekezaj nazani unafaham lazima ujue eneo husika na kp unaenda kufanya, kwangu ningelikua na uwezo ningalitembelea hayo maeneo yote kwa uchunguz zaid, lakn sitoweza

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Salamu zenu wakuu, natumai mu wazima.

Nina uhitaji wa kufahamu kiundani zaidi, upi kati ya mkoa tajwa hapo juu una fursa za uwekezaji?

Nafahamu mikoa hiyo ni mashuhuli kwa vilimo mbalimbali. Je, biashara gani ya kufanya huku ukiwa unajihusisha na kilimo? kilimo gani, wilaya gani?

Sipendelei maeneo ya mjini. Naombeni mnisaidie kijana mwenzenu nakipenda kilimo japo nimekuzwa mjini ila nia thabiti, ninayo shida pa kuanzia.
Kama ni mpenzi wa kilimo tafuta utafiti wa hiyo mikoa Nini kinahitajika zaidi na kipi kitakupa faida Hasa pembejeo,maana mikoa tajwa inafanana kwa kilimo.
 
Ahsante kiongozi ,pia kma una uzoefu kwenye sekta hii ningeomba kushea na wewe mkuu hasa kwenye hayo maeneo

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mimi kwa Sasa nipo Dodoma ndo ninakoishi baada ya kuwa mwajiriwa Mambo yalienda ndivyosivyo kazini.Nimezaliwa Mbeya na kukulia,lakini nimekaa Iringa na Ruvuma pia,Na shghuli za kilimo nimefanya kote huko fursa ni uwe wakala wa mbolea,mbegu,majembe nk.na Eneo zuri la kufanyia kazi.Kwa Mbeya wilaya ya Chunya hawtumii sana mbolea ni kama hapa Dodoma ni mvua tuu ikinyesha sawasawa lazima update tuu.
 
Mimi kwa Sasa nipo Dodoma ndo ninakoishi baada ya kuwa mwajiriwa Mambo yalienda ndivyosivyo kazini.Nimezaliwa Mbeya na kukulia,lakini nimekaa Iringa na Ruvuma pia,Na shghuli za kilimo nimefanya kote huko fursa ni uwe wakala wa mbolea,mbegu,majembe nk.na Eneo zuri la kufanyia kazi.Kwa Mbeya wilaya ya Chunya hawtumii sana mbolea ni kama hapa Dodoma ni mvua tuu ikinyesha sawasawa lazima update tuu.
Ubarikiwe mkuu angalau naanza kupata mwanga

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Salamu zenu wakuu, natumai mu wazima.

Nina uhitaji wa kufahamu kiundani zaidi, upi kati ya mkoa tajwa hapo juu una fursa za uwekezaji?

Nafahamu mikoa hiyo ni mashuhuli kwa vilimo mbalimbali. Je, biashara gani ya kufanya huku ukiwa unajihusisha na kilimo? kilimo gani, wilaya gani?

Sipendelei maeneo ya mjini. Naombeni mnisaidie kijana mwenzenu nakipenda kilimo japo nimekuzwa mjini ila nia thabiti, ninayo shida pa kuanzia.
Nenda Ruvuma i.e.Songea uelekeo Namtumbo...Kuanzia Lumecha mpaka maeneo ya Utwango,waweza sogea mpaka kwa Binti Ndembo au hata Litola mpaka Chengena,patakufaa sana.
 
Back
Top Bottom