Kati ya mahindi na alizeti kilimo kipi kinalipa?

Oct 27, 2021
61
112
Wataalam mlioko makini naombeni msaada wenu.

Natumai mu wazima na harakati za kujenga Tanzania yetu. Mimi nimeingia kwenye kilimo mwaka huu na kwa kuanzia nililima mahindi, na hatua ya kwanza nimefanikiwa pakubwa. Ila nawaza kujiingiza mzimamzima kwenye kilimo, kila nikiwaza ni kilimo gani ina projections nzuri ya faida bado sijashawishika sana.

Kwasababu bei ya mazao huwa inapanda baada ya kuhifadhi kwa angalau muda fulani ukisubiri soko liamue vinginevyo. Sasa nimefanya upembuzi yakinifu wa kilimo lakini bado sijapta majibu sahii ya nini ina bei nzuri na kwa wakati gani ili mkulima uweze kupata faida ya kile ulicholima.

Mwanzoni nliwaza kupanda alizeti lakini ilifanya interview na wakulima wa maeneo tofauti tofauti nikaamua niache alizeti nikapanda mahindi lakini nlichogundua wakati wa mavuno bei ya mazao hayo ni kama sawa (36000 - 40000) na ili uweze kupata bei nzuri ni lazima uhifadhi kwa angalau miezi 4-8 baada ya kuvuna.

Kwa mliolima kabla yangu wakati mimi nazurura naombeni msaada, wapi kunauafadhali maana bado natafakari kwa muhula mwingine wakati nikiendelea kuchoma mahindi hapa, nkiwa nimetulia lakini soko nzuri sijui liko wapi?!

Asanteni kwa ushauri wenu mzuri wapendwa.
 
Binafsi naamini mazao yote mawili yanalipa kinachotakiwa ni kuvumilia hadi msimu bei inapo kaa vizuri

Binafsi nimeanza kulima serious mwaka huu na nimeanza na ALIZETI kwasababu ya unafuu kidogo wa gharama za ulimaji

Alizeti mwaka huu mbegu bora na nzuri zimeuzwa kwa bei nafuu sana from elfu35 to elf7 kwa mfuko wa 2kg

Alizeti haihitaji sana mbolea kama shamba lako sio kichanga na pia haihitaji viatilifu kama mahindi

Alizeti ina palizi moja tu tofauti na mahindi palizi kuanzia 2

Gharama ya kutunza mahindi kwa miezi kadhaa ni kubwa kwasababu utahitaji mifuko maalum kuanzi sh 8,000 kwa mfuko wakati mifuko ya alizeti ni 500 tu

Pamoja na hayo wajuzi wengi wanasema Mahindi yanakuaga na faida zaidi ila mtaji wake ni mkubwa zaidi kama nilivyo ainisha hapo juu
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Binafsi naamini mazao yote mawili yanalipa kinachotakiwa ni kuvumilia hadi msimu bei inapo kaa vizuri

Binafsi nimeanza kulima serious mwaka huu na nimeanza na ALIZETI kwasababu ya unafuu kidogo wa gharama za ulimaji

Alizeti mwaka huu mbegu bora na nzuri zimeuzwa kwa bei nafuu sana from elfu35 to elf7 kwa mfuko wa 2kg

Alizeti haihitaji sana mbolea kama shamba lako sio kichanga na pia haihitaji viatilifu kama mahindi

Alizeti ina palizi moja tu tofauti na mahindi palizi kuanzia 2

Gharama ya kutunza mahindi kwa miezi kadhaa ni kubwa kwasababu utahitaji mifuko maalum kuanzi sh 8,000 kwa mfuko wakati mifuko ya alizeti ni 500 tu

Pamoja na hayo wajuzi wengi wanasema Mahindi yanakuaga na faida zaidi ila mtaji wake ni mkubwa zaidi kama nilivyo ainisha hapo juu
Mkuu kuna kitu naendelea kujifunza hapa japo kama vile matokeo ya mahindi kwa maana ya kipato mahindi unaweza pata matokeo ya magunia mengi kuliko alizeti vile kama umezingatia mahitaji ya shamba
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app

Hizi ni hesabu za kwenye makaratasi na haswa hapo kwenye mavuno kwa eka moja

Angalau mahindi ukijitahidi utafukuzia gunia 15 kwa eka
Na hapo umekaza kweli kweli

Alizeti kupata gunia 10 kwa eka inahitaji miujiza aisee
Sijawahi kupata zaidi ya gunia 5 kwa eka
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kutoka field;
Kukodi shamba =1@30000x10=300,000
Kusafisha masalia msimu ulopita= 1@4,000 x10=40,000
Pulima trekta 1@45000 x10=450,000
Mbegu 4@13000x10=520,000
Usafiri wa kuleta mbegu 1@6000 =6000
kupanda 10heka =35,000
Palizi 1@30000x10=300,000
Palizi ya pil =N/A
Mbolea =N/A
Sumu ya viwavi =N/A
Kuvuna = bado
Usafirishaji =bado
kupigapiga =bado
garama za kutunzia mahindi =bado
matumizi mengine =48,000
Usafiri wangu mpaka sasa =160,000

JUMLA MPAKA SASA GHARAMA =1,859,000
Nilipanda mahindi 20th Dec 2021 mpaka sasa yanelekea kukauka

Mategemeo ni magunia 14-20 kwa heka.
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kote umeongea vizuri Ila hapo tu kwenye Magunia 15+ ya alizeti kwa heka umetudanganya sana
 
Hizi ni hesabu za kwenye makaratasi na haswa hapo kwenye mavuno kwa eka moja

Angalau mahindi ukijitahidi utafukuzia gunia 15 kwa eka
Na hapo umekaza kweli kweli

Alizeti kupata gunia 10 kwa eka inahitaji miujiza aisee
Sijawahi kupata zaidi ya gunia 5 kwa eka
Mavuno duni yanasababishwa na sababu nyingi,mfano:-

1.Shamba bovu lenye ardhi iliyochoka
2.Kilimo cha simu au kutumia mtu/ watu kusimamia shamba lako badala ya wewe mwenyewe.
3.Kuchelewa kupanda.
4.Kuchelewa kufanya palizi,athari huonekana sana hasa kwa mahindi.Ni vema kufanya palizi wiki ya 4 hadi 6 toka mahindi kuota kutegemea na kiwango cha magugu.
5.Kupanda ovyo ovyo bila kuzingatia nafasi sahihi. Shamba kubwa lakini miche michache. Ekari moja ya mahindi inatakiwa iwe na mimea elfu 17,000 hadi 22,000 kutegemea na aina ya mbegu.
Hivyo ni muhimu sana km utapanda na vibarua uwepo na wewe shambani kwani km hautokuwepo vibarua watatengeneza mistari ya mbalimbali ili wamalize kazi haraka hapo tayri unakuwa umepigwa.



Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hizi ni hesabu za kwenye makaratasi na haswa hapo kwenye mavuno kwa eka moja

Angalau mahindi ukijitahidi utafukuzia gunia 15 kwa eka
Na hapo umekaza kweli kweli

Alizeti kupata gunia 10 kwa eka inahitaji miujiza aisee
Sijawahi kupata zaidi ya gunia 5 kwa eka
duh uuyu jamaa!! nimepita huko wanakolima alizeti naona wengi wanaishia gunia 5-8 kwa heka kwenye mavuno labda yeye atupe mikakati alivyofanya na sisi tufanikiwe
 
Kutokana na uzoefu, lima alizeti na jitahidi angalau upate kuanzia gunia 5, pia utunze hiyo alizeti mpaka mwezi wa 12 hapo utaiona Faida.

Mpaka hapa ninapo andika hapa niko shambani napanda alizeti. na na huu ninapoongea gunia la alizeti la debe 7 ninauzwa 175000 huko kibaigwa. Sasa jiulize gunia la mahindi ni shilingi ngapi? Nadhani hata laki haijafika.

Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta bei ya alizeti itazidi kupanda tu cha muhimu usiwe na haraka kuuza.
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hapa kwenye takwimu za idadi ya gunia za mahindi na alizeti sio sahihi, ila huko kote ni sahihi.
 
Kutoka field;
Kukodi shamba =1@30000x10=300,000
Kusafisha masalia msimu ulopita= 1@4,000 x10=40,000
Pulima trekta 1@45000 x10=450,000
Mbegu 4@13000x10=520,000
Usafiri wa kuleta mbegu 1@6000 =6000
kupanda 10heka =35,000
Palizi 1@30000x10=300,000
Palizi ya pil =N/A
Mbolea =N/A
Sumu ya viwavi =N/A
Kuvuna = bado
Usafirishaji =bado
kupigapiga =bado
garama za kutunzia mahindi =bado
matumizi mengine =48,000
Usafiri wangu mpaka sasa =160,000

JUMLA MPAKA SASA GHARAMA =1,859,000
Nilipanda mahindi 20th Dec 2021 mpaka sasa yanelekea kukauka

Mategemeo ni magunia 14-20 kwa heka.
Mkuu unalima wapi huko wanakokodisha shamba kwa 30000
 
Vyote vinalipa tena sana muhimu ni soko ujue nikivuna naenda muuzia nani?

Alizeti inaweza kuwa na bei kuliko mahindi lakini ukikosa soko ukajikuta unakaa

na mzigo muda mrefu gharama za utunzaji zinaongezeka mpk unakuja kuuza uktoa matumizi faida inayobaki

bora hata ungelima mboga za majani,mahindi kadhalika yanaweza kuwa na faida kuzd alizet lakini formula n ile ile Una uhakika utamuuzia nani baada ya kuvuna?

Swali la muhimu kwenye Kilimo sio Faida, swali ni Je nikivuna namuuzia nani? kumbuka kilimo inatoa bdhaa zinazo oza zinahtaji matunzo na usmamiz mkubwa sana ili ziendelee kubaki bora muda wote kbla hazijamfkia mteja.

sasa umejiandaaje kwenye eneo hilo? Usi tazame faida kwenye kilimo utapasuka kichwa ubongo umwagike chini, Hii thread yako nilitegemea ungeuliza Kati ya Kilimo cha alizeti na mahindi Zao lipi lina uhakika wa wateja wa haraka?

Ukshajua zao ambalo hutochukua round ushauza shamba zima hilo ndio zao la kulima bila kujali faida n ndogo au kubwa, biashara tunasemaga ni heri sh 100 ya kila siku kuliko 10k ya mara moja kwa miezi miwili.

Calculate hasara na faida za kulima mazao husika na macho yako yasikomae kwenye FAIDA (pesa tu) yakomae engo zote.

NATUMAINI ushawahi kutana na watu wanalima halafu kwenye kuvuna Huo mwaka kila mtu anavuna vizuri, yani mnakutana sokoni kila mt shamba limejibu, Ndio yalee yakuja kuskia mafuta ya alizeti kdumu cha lita 5 hadi 7000,wakat saivi hujaanza kulima kdumu cha lita 5 unaambiwa ni 40,000 mate yanakutokaaaa Lima sasa uone utamu wake.

Kumbuka hulimi peke ako,hesabu hizi huzipgi peke ako na wakulima wengi hupga hesabu sawa vichwan n wachache sana huwa tofaut ila wengi hesabu zao n 1+1=2 woteeee wako hvyo.

Mkuu usifurahishwe na hesabu za makaratasi utazopgiwa hapa, hebu fanya zako utafiti ujue Zao lipi kati ya hayo ukilima una uhakika wa Wateja muda wowote utakao vuna,bila kujali utavuna wakat gani muhimu uwe na wateja UHAKIKA.

Lima ukiwa tayari unajua unaenda muuzia nani,sio ulime kuja tegemea faida huko masokoni, Kilimo n biashara za msimu ukshajua hilo ujue hata Faida zake zipo hvyo hvyo Kimsimu msimu.

Tujibu swali la thread yako ki theory theory, Alizeti inalipa kinoma nomaaa Asikwambie mtu Mkuu alizeti huwezi ifananisha na Mahindi.Nimemaliza Boss.
 
Vyote vinalipa tena sana muhimu ni soko ujue nikivuna naenda muuzia nani?

Alizeti inaweza kuwa na bei kuliko mahindi lakini ukikosa soko ukajikuta unakaa

na mzigo muda mrefu gharama za utunzaji zinaongezeka mpk unakuja kuuza uktoa matumizi faida inayobaki

bora hata ungelima mboga za majani,mahindi kadhalika yanaweza kuwa na faida kuzd alizet lakini formula n ile ile Una uhakika utamuuzia nani baada ya kuvuna?

Swali la muhimu kwenye Kilimo sio Faida, swali ni Je nikivuna namuuzia nani? kumbuka kilimo inatoa bdhaa zinazo oza zinahtaji matunzo na usmamiz mkubwa sana ili ziendelee kubaki bora muda wote kbla hazijamfkia mteja.

sasa umejiandaaje kwenye eneo hilo? Usi tazame faida kwenye kilimo utapasuka kichwa ubongo umwagike chini, Hii thread yako nilitegemea ungeuliza Kati ya Kilimo cha alizeti na mahindi Zao lipi lina uhakika wa wateja wa haraka?

Ukshajua zao ambalo hutochukua round ushauza shamba zima hilo ndio zao la kulima bila kujali faida n ndogo au kubwa, biashara tunasemaga ni heri sh 100 ya kila siku kuliko 10k ya mara moja kwa miezi miwili.

Calculate hasara na faida za kulima mazao husika na macho yako yasikomae kwenye FAIDA (pesa tu) yakomae engo zote.

NATUMAINI ushawahi kutana na watu wanalima halafu kwenye kuvuna Huo mwaka kila mtu anavuna vizuri, yani mnakutana sokoni kila mt shamba limejibu, Ndio yalee yakuja kuskia mafuta ya alizeti kdumu cha lita 5 hadi 7000,wakat saivi hujaanza kulima kdumu cha lita 5 unaambiwa ni 40,000 mate yanakutokaaaa Lima sasa uone utamu wake.

Kumbuka hulimi peke ako,hesabu hizi huzipgi peke ako na wakulima wengi hupga hesabu sawa vichwan n wachache sana huwa tofaut ila wengi hesabu zao n 1+1=2 woteeee wako hvyo.

Mkuu usifurahishwe na hesabu za makaratasi utazopgiwa hapa, hebu fanya zako utafiti ujue Zao lipi kati ya hayo ukilima una uhakika wa Wateja muda wowote utakao vuna,bila kujali utavuna wakat gani muhimu uwe na wateja UHAKIKA.

Lima ukiwa tayari unajua unaenda muuzia nani,sio ulime kuja tegemea faida huko masokoni, Kilimo n biashara za msimu ukshajua hilo ujue hata Faida zake zipo hvyo hvyo Kimsimu msimu.

Tujibu swali la thread yako ki theory theory, Alizeti inalipa kinoma nomaaa Asikwambie mtu Mkuu alizeti huwezi ifananisha na Mahindi.Nimemaliza Boss.
Boss nashukuru kwa kutiririka hapa kuna kitu nimejifunza asante
 
Vyote vinalipa tena sana muhimu ni soko ujue nikivuna naenda muuzia nani?

Alizeti inaweza kuwa na bei kuliko mahindi lakini ukikosa soko ukajikuta unakaa

na mzigo muda mrefu gharama za utunzaji zinaongezeka mpk unakuja kuuza uktoa matumizi faida inayobaki

bora hata ungelima mboga za majani,mahindi kadhalika yanaweza kuwa na faida kuzd alizet lakini formula n ile ile Una uhakika utamuuzia nani baada ya kuvuna?

Swali la muhimu kwenye Kilimo sio Faida, swali ni Je nikivuna namuuzia nani? kumbuka kilimo inatoa bdhaa zinazo oza zinahtaji matunzo na usmamiz mkubwa sana ili ziendelee kubaki bora muda wote kbla hazijamfkia mteja.

sasa umejiandaaje kwenye eneo hilo? Usi tazame faida kwenye kilimo utapasuka kichwa ubongo umwagike chini, Hii thread yako nilitegemea ungeuliza Kati ya Kilimo cha alizeti na mahindi Zao lipi lina uhakika wa wateja wa haraka?

Ukshajua zao ambalo hutochukua round ushauza shamba zima hilo ndio zao la kulima bila kujali faida n ndogo au kubwa, biashara tunasemaga ni heri sh 100 ya kila siku kuliko 10k ya mara moja kwa miezi miwili.

Calculate hasara na faida za kulima mazao husika na macho yako yasikomae kwenye FAIDA (pesa tu) yakomae engo zote.

NATUMAINI ushawahi kutana na watu wanalima halafu kwenye kuvuna Huo mwaka kila mtu anavuna vizuri, yani mnakutana sokoni kila mt shamba limejibu, Ndio yalee yakuja kuskia mafuta ya alizeti kdumu cha lita 5 hadi 7000,wakat saivi hujaanza kulima kdumu cha lita 5 unaambiwa ni 40,000 mate yanakutokaaaa Lima sasa uone utamu wake.

Kumbuka hulimi peke ako,hesabu hizi huzipgi peke ako na wakulima wengi hupga hesabu sawa vichwan n wachache sana huwa tofaut ila wengi hesabu zao n 1+1=2 woteeee wako hvyo.

Mkuu usifurahishwe na hesabu za makaratasi utazopgiwa hapa, hebu fanya zako utafiti ujue Zao lipi kati ya hayo ukilima una uhakika wa Wateja muda wowote utakao vuna,bila kujali utavuna wakat gani muhimu uwe na wateja UHAKIKA.

Lima ukiwa tayari unajua unaenda muuzia nani,sio ulime kuja tegemea faida huko masokoni, Kilimo n biashara za msimu ukshajua hilo ujue hata Faida zake zipo hvyo hvyo Kimsimu msimu.

Tujibu swali la thread yako ki theory theory, Alizeti inalipa kinoma nomaaa Asikwambie mtu Mkuu alizeti huwezi ifananisha na Mahindi.Nimemaliza Boss.
Lini ulishawahi kusikia alizeti umekosa soko?
 
Back
Top Bottom