Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 480
- 765
Mambo vp wakuu,
NMB acheni ushamba na uzee
1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu.
2. Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?
Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndio utaratibu wenu.
Acheni hizi tabia mnaboa mno!
Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.
NMB acheni ushamba na uzee
1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu.
2. Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?
Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndio utaratibu wenu.
Acheni hizi tabia mnaboa mno!
Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.