mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
- Thread starter
- #21
Hapo kwenye red....wanabalance kwenye nini?Kati ya wote ningependa kukutana na Ritz & FF usiulize kwanini hawa wanajamvi wanasaidia sana kubalance JF.
Hapo kwenye red....wanabalance kwenye nini?Kati ya wote ningependa kukutana na Ritz & FF usiulize kwanini hawa wanajamvi wanasaidia sana kubalance JF.
Rejeo
Topical
Malaria sugu
Mwita25
Ritz
Ami
Faizafoxy
From nowhere.... ghafla bin vuu ukabahatika kukutana "live" na mmoja kati ya waheshimiwa niliowataja hapo juu, jee utajisikiaje?
Mathalan kakwambia'mimi ndiye FF au Topical' Je,utaamini vipi? Au utamuuliza swali gani la uchokonozi kupitia mijadala yetu ya hapa
jamvini ili uamini kama ni kweli huyu ni Malaria sugu au ni kweli huyu ni mwita25? Na ukishajiridhisha kuwa kweli ni yeye, Je utampa
ushauri gani kabla ya neno 'byeee c uuuu agaiiiin?
Nilikuwepo....sitaki ushahidi, nawahi Libya kwenye mazishi ya canar Ghadaffi.
Mwita25 kesho ntakuwa Master pub opposite na Bima kucheki game ya Manchester Derby! Karibu sana tujumuike wa Dodoma.
Hio list hapo nengependa nionane nao na kila mmoja for different reasons....
Faiza Foxy - A strong and Persistent lady with an Unshakably strong character rare in Women.
Rejao - To understand ni kwa nini alichagua hio Avatar ambayo humfanya ukimuona at first glance ka vile umpotezee...
Ritz - Napenda the fact kua hata yeye anatambua kua ana makusudi sana jinsi ya ku-rattle members ambao kila siku huingia mtego wake.
Mwita25 - Hua namuona ana akili saana... ila bado simpati kwanini hufanya mambo ambayo yaweza mtafsiri kua ni kilaza to most....
Malaria Sugu - Nam-quote Mkuu Riwa hapo juu.... "Most interesting character"
Ami - Hanaga reasoning... what he believes hawezi shake down hata kidogo aangalie the other side... A dangerous character in devout situations...
Topical sijawahi muona wala kumsikia....
Mimi namtaka FaizaFoxy
Unaujuwa Udi? fukiza tu, ntakutokea!
Hahah...Faiza, hapa nimeshika keyboard natetemeka! Angalia watu wasikimbie JFUnaujuwa Udi? fukiza tu, ntakutokea!
Huyu nadhani ana fani ya Udaktari wa binaadam au wanyama, nimekutana nao wengi sana, wote huwa kama Mwita25.
pale pamefulia sijaenda muda mrefu sana BossPoa mkuu, Hivi Younique siku hizi wamefunga?
yalaaaaaaaaaaaaa
Kabla hujaanza kufukiza kwanza itazame vizuri avatar yangu, mimi ntakuja kama unavyoniona kwenye back ground na si kama hapo mbele, wote ni mmoja tu. Umeelewa?
Hapo kwenye red....wanabalance kwenye nini?
Mkuu....Mwanakijiji na watu wengine kama wewe siyo PASUA KICHWA kama hao waheshimiwa niliyowataja hapo juu.dah umemsahau mzee mwanakijiji!! by the way kuna mtu anaitwa excellent huyo nikikutana nae kwanza itabidi nicheke saaaaana!!!!