Kati ya Gender Development na Social Development ipi ni kozi nzuri kusoma

Shimamiyaa Mohd

New Member
Sep 13, 2022
4
0
Habari zenu wakuu

Jaman naomba msaada kozi gani nzuri ya kusomea kati ya gender and development na management of social development

Na vipi kwenye upande wa kujiajiri au kuajiriwa je ipi ni makertable?

Asanteni
 
Habari zenu wakuu

Jaman naomba msaada kozi gani nzuri ya kusomea kati ya gender and development na management of social development

Na vipi kwenye upande wa kujiajiri au kuajiriwa je ipi ni makertable?

Asanteni
Hizo kozi zote hazina tofauti. ni sawa isipokuwa majina ndio yametofautiana ila ajira zao zinafanana. Ni kama mtu akisema mjamzito na mwenye mimba. Kozi zote zinahusu mambo ya kijamii. Ushauri wangu angalia chuo kipi kikongwe au chenye jina ndio ukasome hicho.
 
Hizo kozi zote hazina tofauti. ni sawa isipokuwa majina ndio yametofautiana ila ajira zao zinafanana. Ni kama mtu akisema mjamzito na mwenye mimba. Kozi zote zinahusu mambo ya kijamii. Ushauri wangu angalia chuo kipi kikongwe au chenye jina ndio ukasome hicho.
Nimechaguliwa kusoma chuo cha Mwalimu nyerere mkuu....je vp kuhusu suala la ajira kwa hizi kozi....
 
Back
Top Bottom