Kati ya dini, siasa, majanga ya asili, ni kitu gani chenye historia ya kusababisa vifo vingi vya binadamu?

Pendaelli

JF-Expert Member
Feb 13, 2014
8,921
23,250
Nawasalimuni kwa heshima zote.

Tokea siku ile Adamu aliposhindwa kutii agizo la mungu, Mungu alimtahadharisha kuhusu kifo cha mwili.

Na tokea kipindi hiki kumekuwepo na vifo vingi vya binadamu na vyote vikitokana na sababu nyingi.

Ukiachilia maradhi na uzee kuna vifo vinavyotaka na sababu ya kiasili ya ulimwengu, na sababu za tabia za kibinadamu Kama vita vya kisiasa uchumi madaraka fitina nk.
Pia vimekuwepo vifo vitokanavyo na dini, kwamba wale walio na dini hii wakiwataka wasio amini Kama wao waami na inapokua kinyume checked hutokea kuuana.

Sasa Mimi ningependa kujua Kati ya huvyo Ni vipi vimesababisha watu wengi kufa.

Mungu ni mwema kila wakati.
 
Soma mwanzo 7 kuna tukio hapo linaelezwa kuwa mvua ilinyesha siku 40 mchana na usiku. Unadhani viumbe wangapi walipoteza uhai?

Ila sasa ajabu ya hilo tukio ni kuwa viumbe wote unao waona sasa waliingia wawili wawili na wakatosha wht a wonderful story!!!!

Sijajua safina ilikuwa na ukubwa gani. Na mwisho wa stori inasomeka maji yakapata nguvu siku mia na hamsini😊
 
Nawasalimuni kwa heshima zote.

Tokea siku ile Adamu aliposhindwa kutii agizo la mungu, Mungu alimtahadharisha kuhusu kifo cha mwili.

Na tokea kipindi hiki kumekuwepo na vifo vingi vya binadamu na vyote vikitokana na sababu nyingi.

Ukiachilia maradhi na uzee kuna vifo vinavyotaka na sababu ya kiasili ya ulimwengu, na sababu za tabia za kibinadamu Kama vita vya kisiasa uchumi madaraka fitina nk.
Pia vimekuwepo vifo vitokanavyo na dini, kwamba wale walio na dini hii wakiwataka wasio amini Kama wao waami na inapokua kinyume checked hutokea kuuana.

Sasa Mimi ningependa kujua Kati ya huvyo Ni vipi vimesababisha watu wengi kufa.

Mungu ni mwema kila wakati.
Majanga ya asili mkuu. jaokuwa Many people have been slaughtered in the name of God. Mfano kwenye vita ya msalaba ambapo dunia ilikuwa na watu wanaokadiliwa 300 milion, inakadiliwa walikufa watu 1.7

Mwaka 2003, Wahindu huko India waliua Waislam zaidi ya 2000 katika mashambulizi

Mwaka 2014 inakadiliwa zaidi ya watu 5000 dunia nzima walikufa kutoka na jihadist

Inakadiliwa boko Haram imeua zaidi ya watu 30,000 na kuacha zaidi ya watu 2.5 million wakihanfaika

Katika Mgogoro wa kidni huko Burma mwaka 2017, inakadiliwa Rohingya 24,000 waliuawa

Ila sasa turudi kwenye majanga ya asili

Tsunami ya mwaka 2004, inakadiliwa iliua watu 225,0000.

Balck plague iliua zaidi ya watu milion 25

Balaa la njaa la Ethiopia lilia waethiopia zaidi ya milion 1

katika tetemeko la ardhi la haiti, zaidi ya watu 220,000 walikufa.


Haya ni baadhi tu bado hujaweka ebola, ukimwi, malaria na mengine
 
Soma mwanzo 7 kuna tukio hapo linaelezwa kuwa mvua ilinyesha siku 40 mchana na usiku. Unadhani viumbe wangapi walipoteza uhai?

Ila sasa ajabu ya hilo tukio ni kuwa viumbe wote unao waona sasa waliingia wawili wawili na wakatosha wht a wonderful story!!!!

Sijajua safina ilikuwa na ukubwa gani. Na mwisho wa stori inasomeka maji yakapata nguvu siku mia na hamsini
Hili tukio sidhani Kama likitokea kwa dunia nzima.
Bali nadhani ni kwa eneo husika alilokua anatokea mwandishi wa hiki kitabu. Mathalani ingalikua ni huku kwetu mfano ingekua ni dar es laam tungesema ni maeneo ya jirani au kanda ya pwani yote.

Lakini vifo vilivyotokana na tukio Hili tunaweza kuvihesibia Kama nimajanga ya asili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili tukio sidhani Kama likitokea kwa dunia nzima.
Bali nadhani ni kwa eneo husika alilokua anatokea mwandishi wa hiki kitabu. Mathalani ingalikua ni huku kwetu mfano ingekua ni dar es laam tungesema ni maeneo ya jirani au kanda ya pwani yote.

Lakini vifo vilivyotokana na tukio Holi tunaweza kuvihesibia Kama nimajanga ya asili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia imetumia neno nchi.
Kwa kingereza wametumia earth
Kwa maana simpo earth tunaitambua kama dunia.

Sasa hata mimi huwa napatwa mashaka ikiwa ilikuwa dunia yote ama nchhi tu.

Mvua ya siku 40 si mchezo
 
... baadhi ya nyakati hususan za kale ni vigumu kutofautisha dini na siasa; tofauti hizi zilitokea karne za hivi karibuni. Kwa mfano, kipindi hicho kanisa likitawala siasa na dini hapo tunaamua vipi?
 
Back
Top Bottom