Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,442
- 3,404
Inakuwaje wanaJamiiForums
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?