- Thread starter
- #61
Serikali za wenzetu huwa na mission za muda mrefu hazitegemei chama gani kipo madarakani.Huyo mjerumani siku zake zinahesabika. Chama chao kimeshindwa uchaguzi huko kwao
Serikali za wenzetu huwa na mission za muda mrefu hazitegemei chama gani kipo madarakani.Huyo mjerumani siku zake zinahesabika. Chama chao kimeshindwa uchaguzi huko kwao
Unamaana mwendazake anagongewa mke wakati yeye yupo kaburini?Unamaanisha DJ atagongewa mkewe wakat yupo gerezan???
Barozi?? 🤔🤔🤔🤔🤔Kwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Imeandikwa hapo kuwa DJ atakua km Mandela baada ya haya matukio kupita lkn Mandela wakat anasoteshwa huku nyuma watu wake wakaribu walimsalit kwa kumzini mkewe na ndio maana nikatoa swali hiloUnamaana mwendazake anagongewa mke wakati yeye yupo kaburini?
Ni sawa,lakini na mimi nikasema marehemu wengi tu wakishatangulia basi wake zao wanabaki wanabanjuliwa na wana!Na mimi ndio nikauliza hivyo!Imeandikwa hapo kuwa DJ atakua km Mandela baada ya haya matukio kupita lkn Mandela wakat anasoteshwa huku nyuma watu wake wakaribu walimsalit kwa kumzini mkewe na ndio maana nikatoa swali hilo
Wajifariji? Kazi kweli kweli.kwani hao wajerumani ndio mahakama?
wenzake wanamchora tu awajui mabeberu!
Wajerumani sio mahakama.kwani hao wajerumani ndio mahakama?
wenzake wanamchora tu awajui mabeberu!
Chadema kuweni watulivu swala la ugaidi ni gumu jipeni muda.Vyombo vya ulinzi vitathibitisha muda wa kesi Bado saaanaNi aibu na kudhalilisha Nchi, kutengeneza makesi kila kukicha, nilidhani mambo hayo yameisha hawamu ya tano, kumbe bado!
Mwaka huu mtatoa mitusi yote lakini Gaidi hachomokiNi sawa,lakini na mimi nikasema marehemu wengi tu wakishatangulia basi wake zao wanabaki wanabanjuliwa na wana!Na mimi ndio nikauliza hivyo!
Kwahiyo ukianzisha vita ya mawe,hakikisha hauna nyumba ya vioo!
Naibu Balozi wa Germany nchini Tanzania KATHRIN STEINBRENNER akamsogelea Freeman Mbowe na kumueleza "never, never, never Give up!" Freeman akasema "I will never give up".
Ikapigwa ngeli ya kutosha hapo. MaCCM wanalalamika koridoni, wanasema Germans wanasapoti ugaidi wa FREEMAN.
Wale wanakuwa magaidi kweli.. siyo huu ugaidi feki wa mh. Mbowe wa kubambikiziwa na wahuni matagaKwa nini Magaidi ya kiarabu uko USA wazungu hawakwenda kutoa hizo statement never give up . Huyo barozi mjinga sana. Magaidi wanaowakamata uko kwao barozi zetu au nchi nyingine walishaenda kuwaona hao Magaidi na kuwambia never give up.
Sawa mke wa kingaiLabda huyo naibu balozi atatoa Hukumu yeye badala ya jaji Aliekuwepo vituko haviishi mtaa wa ufipa
Umemshika kende hachomoi uyo tagaNi sawa,lakini na mimi nikasema marehemu wengi tu wakishatangulia basi wake zao wanabaki wanabanjuliwa na wana!Na mimi ndio nikauliza hivyo!
Kwahiyo ukianzisha vita ya mawe,hakikisha hauna nyumba ya vioo!
Leo wamekuwa sio wawekezaji tena?Huyo Naibu Balozi anaingilia Mahakama na ku support ugaidi, bila shaka, wizara ya Mambo ya Nje, itamwita na ataondolewa hapa nchini aende zao kwao huko Germany haraka sana.
Hatutaki ujinga sisi. Balozi anaenda Mahakamani kufanya nn? Hawa ndio supporter wa fedha na ugaidi, huyo aondolewe.
Vyombo vya ulinzi vya akina KingaiChadema kuweni watulivu swala la ugaidi ni gumu jipeni muda.Vyombo vya ulinzi vitathibitisha muda wa kesi Bado saaana
Afu badae mtaenda kuwaomba condom na chanjo za msaadaHuyo Naibu Balozi anaingilia Mahakama na ku support ugaidi, bila shaka, wizara ya Mambo ya Nje, itamwita na ataondolewa hapa nchini aende zao kwao huko Germany haraka sana.
Hatutaki ujinga sisi. Balozi anaenda Mahakamani kufanya nn? Hawa ndio supporter wa fedha na ugaidi, huyo aondolewe.
Gaidi lazima ata give up tu, hiyo never never, never give up anataongea na Mahakama, mahakama ikimfunga ataongea huko gerezani never never never give up. 30 solid years ndio ataimba neveeeer, neveer neveer givee uuuup, nyoko sana
No brave person gives up in chase of freedom and justice. Bravo Freeman. You are not a terrorist.Naibu Balozi wa Germany nchini Tanzania KATHRIN STEINBRENNER akamsogelea Freeman Mbowe na kumueleza "never, never, never Give up!" Freeman akasema "I will never give up".
Ikapigwa ngeli ya kutosha hapo. MaCCM wanalalamika koridoni, wanasema Germans wanasapoti ugaidi wa FREEMAN.