Aah bongo mfumo kafir umetamalaki haiwekani labda kuvuka maji chumviHao watu walivyovaa aisee,hayo si ni mateso.
Ila safi waache wafuate miongozo yao,vitabu vyao vinasema hivyo,acha iwe hivyo hivyo tu,na waislamu wa bongo nao waige hivyo
Wanapitia hali ngumu sana hao wanawake huko, Hakuna elimu pia tiba hakuna...hapo ni vifo vya wanawake vitashamiri kwa wingi sanaTaliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!
Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Ajabu nyingine...huo mzigo ukiwaelemea na kuwashinda kabisa wanatafuta misaada toka kwa wanaokinzana nao kiimani.Imani ikitafsiriwa ndivyo sivyo hugeuka kuwa mzigo mzito usiobebeka
Soi Afghanistan pekee.....Bali na nchi nyingine nyingi ambazo makafir hawana uhuru wa kuabudu.Afghanistan ni Bora kuzaliwa mwanaume
😃😃😃Soi Afghanistan pekee.....Bali na nchi nyingine nyingi ambazo makafir hawana uhuru wa kuabudu.
Kuna moja miaka ya hivi karibuni ETI wanawake ndo wameruhusiwa kuendesha magari......Daaaah
Taliban hawajakataa wanawake wasisome,muwe mnafuatilia mambo,Kama wamebainisha madaktari wa kiume maana yake wa kike wapoTaliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!
Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Kwaio ni wewe pekee unayejua kuwa Taliban hawajakataa wanawake wasisome?Taliban hawajakataa wanawake wasisome,muwe mnafuatilia mambo,Kama wamebainisha madaktari wa kiume maana yake wa kike wapo
Mkuu think twice....These guys are idiot (not the religion) ,elimu yao haiwasaidii hata kuwaza vitu vya kawaida. Labda kama wanawake kwao ni kama sisimizi ambayo unaweza kukanyaga bila kujua unaendelea na safari