Lilikuwa katazo la kisiasa lililokosa uhalisia na ambalo halikuzingatia mahataji na kukosa mbadalaHivi katazo la mifuko ya plastics lishaisha mbona madukani bado inatumika kwa kasi? Hi ya bluu na mieupe maarufu km MNAZI, nani anazalisha au hi imeruhusiwa?
View attachment 2815289