Hii ni hatari hakuna magogo ya mti tena buchani sasa ni gogo la plastic

matemabi

Senior Member
May 2, 2017
103
125
Juzi nilienda kununua nyama maeneo fulani Dodoma. Nilipofika nilikuta bucha safi na la kisasa lakini nilishangazwa kuona hakuna tena lile gogo la mti la kukatia nyama muda huu nilikuta kifaa kama plastic hivi, yaani kina material kama yale ya chopping board... halafu kime chambuka/ kimelika haswaa...

Nikamuuliza jamaa vipi tena magogo ya mti yameenda wapi!?

Yeye Akajibu wamezuia
Mimi: Kwanini!??
Yeye: Hajui ila anafikiri kwamba ni ukataji wa miti umeongezeka ndio sababu magogo yamekatazwa.
Mimi: mbona hicho kama kiplastic
Yeye: Ndio ni plastic na mtakufa sana mwaka huu

Tukaishia kucheka...
Jamaa akaongeza kusema usipo kutwa na hicho kibao unapigwa fine japo kuwa kuna machine za kukata nyama na kile kibao utatakiwa kuwa nancho kama mbadala wa gogo la mti.

Yaani jamaa anasema kile kiplastic kinawahi kuisha haraka sana ukiringanisha na gogo la mti.

Nikajiuliza kwahiyo tunakula plastic kiasi gani!?

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
 
Juzi nilienda kununua nyama maeneo fulani dodoma. Nilipofika nilikuta bucha safi na la kisasa lakini nilishangazwa kuona hakuna tena lile gogo la mti la kukatia nyama muda huu nilikuta kifaa kama plastic hivi, yaani kina material kama yale ya chopping board... alafu kime chambuka/ kimelika haswaa...

Nikamuuliza jamaa vipi tena magogo ya mti yameenda wapi !?

Yeye Akajibu wamezuia
Mimi: Kwanini!??
Yeye: Hajui ila anafikiri kwamba ni ukataji wa miti umeongezeka ndio sababu magogo yamekatazwa.
Mimi: mbona hicho kama kiplastic
Yeye: Ndio ni plastic na mtakufa sana mwaka huu

Tukaishia kucheka...

Jamaa akaongeza kusema usipo kutwa na hicho kibao unapigwa fine japo kuwa kuna machine za kukata nyama na kile kibao utatakiwa kuwa nancho kama mbadala wa gogo la mti.

Yaani jamaa anasema kile kiplastic kinawahi kuisha haraka sana ukiringanisha na gogo la mti.

Nikajiuliza kwahiyo tunakula plastic kiasi gani!??



Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Bila picha ni umbea na uzandiki
 
Naomba niwaelekeze mkapige nyie picha kwenye ofisi za watu kama mtaona ni vyema.

1. Dodoma, meliwa ukiwa unaingia kutoka main road bucha za upande wa kushoto.

2. Dodoma, stand ya Sabasaba ingilia mlango wa kutokea magari mabucha yapo upande wa kulia.

Haya kazi kwenu wapiga picha.

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
 
Naomba niwaelekeze mkapige nyie picha kwenye ofisi za watu kama mtaona ni vyema.

1. Dodoma, meliwa ukiwa unaingia kutoka main road bucha za upande wa kushoto.

2. Dodoma, stand ya Sabasaba ingilia mlango wa kutokea magari mabucha yapo upande wa kulia.

Haya kazi kwenu wapiga picha.

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Bila picha umbea!
 
Tanzania kila mmoja ni daktari.
Wewe jaribu kuumwa utasikia madaktari wa Mitaani kunywa maji mengi, kula matunda.
Huyo muuza nyama ana ushahidi wowote kuwa hiyo plastic ya buchani kwake imeua watu?
 
Dunia ya ss habari bila picha au video clip sawa na takataka TU.
 
Tanzania kila mmoja ni daktari.
Wewe jaribu kuumwa utasikia madaktari wa Mitaani kunywa maji mengi, kula matunda.
Huyo muuza nyama ana ushahidi wowote kuwa hiyo plastic ya buchani kwake imeua watu?
Mleta mada anazua taharuki ndo maana haleti facts zilizonyooka
 
Tanzania kila mmoja ni daktari.
Wewe jaribu kuumwa utasikia madaktari wa Mitaani kunywa maji mengi, kula matunda.
Huyo muuza nyama ana ushahidi wowote kuwa hiyo plastic ya buchani kwake imeua watu?
Kuna muda akili hupimwa na kitu gani unaongea.

Nakupa offer ya lunch leo sahani moja ya plastic na uji wa plastic jioni.

Hautakufa wala kupata madhara yoyote.

Weka number yako hapo chini nikupatie mkwanja.

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada anazua taharuki ndo maana haleti facts zilizonyooka
Naomba niwaelekeze mkapige nyie picha kwenye ofisi za watu kama mtaona ni vyema.

1. Dodoma, meliwa ukiwa unaingia kutoka main road bucha za upande wa kushoto.

2. Dodoma, stand ya Sabasaba ingilia mlango wa kutokea magari mabucha yapo upande wa kulia.

Haya kazi kwenu wapiga picha

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
 
Dunia ya ss habari bila picha au video clip sawa na takataka TU.
Naomba niwaelekeze mkapige nyie picha kwenye ofisi za watu kama mtaona ni vyema.

1. Dodoma, meliwa ukiwa unaingia kutoka main road bucha za upande wa kushoto.

2. Dodoma, stand ya Sabasaba ingilia mlango wa kutokea magari mabucha yapo upande wa kulia.

Haya kazi kwenu wapiga picha

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
 
Juzi nilienda kununua nyama maeneo fulani dodoma. Nilipofika nilikuta bucha safi na la kisasa lakini nilishangazwa kuona hakuna tena lile gogo la mti la kukatia nyama muda huu nilikuta kifaa kama plastic hivi, yaani kina material kama yale ya chopping board... alafu kime chambuka/ kimelika haswaa...

Nikamuuliza jamaa vipi tena magogo ya mti yameenda wapi !?

Yeye Akajibu wamezuia
Mimi: Kwanini!??
Yeye: Hajui ila anafikiri kwamba ni ukataji wa miti umeongezeka ndio sababu magogo yamekatazwa.
Mimi: mbona hicho kama kiplastic
Yeye: Ndio ni plastic na mtakufa sana mwaka huu

Tukaishia kucheka...

Jamaa akaongeza kusema usipo kutwa na hicho kibao unapigwa fine japo kuwa kuna machine za kukata nyama na kile kibao utatakiwa kuwa nancho kama mbadala wa gogo la mti.

Yaani jamaa anasema kile kiplastic kinawahi kuisha haraka sana ukiringanisha na gogo la mti.

Nikajiuliza kwahiyo tunakula plastic kiasi gani!??



Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
WE lini utatoka ktk huo ujinga. Ulaya kuna magogo?
 
Naomba niwaelekeze mkapige nyie picha kwenye ofisi za watu kama mtaona ni vyema.

1. Dodoma, meliwa ukiwa unaingia kutoka main road bucha za upande wa kushoto.

2. Dodoma, stand ya Sabasaba ingilia mlango wa kutokea magari mabucha yapo upande wa kulia.

Haya kazi kwenu wapiga picha

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Kupiga picha kifaa hichp pekee na siyo duka zima kulikuwa na hasara gani?
Wewe ndo umeleta uzi, una wajibu wa kutupatia uthibitisho wake
 
Juzi nilienda kununua nyama maeneo fulani dodoma. Nilipofika nilikuta bucha safi na la kisasa lakini nilishangazwa kuona hakuna tena lile gogo la mti la kukatia nyama muda huu nilikuta kifaa kama plastic hivi, yaani kina material kama yale ya chopping board... alafu kime chambuka/ kimelika haswaa...

Nikamuuliza jamaa vipi tena magogo ya mti yameenda wapi !?

Yeye Akajibu wamezuia
Mimi: Kwanini!??
Yeye: Hajui ila anafikiri kwamba ni ukataji wa miti umeongezeka ndio sababu magogo yamekatazwa.
Mimi: mbona hicho kama kiplastic
Yeye: Ndio ni plastic na mtakufa sana mwaka huu

Tukaishia kucheka...

Jamaa akaongeza kusema usipo kutwa na hicho kibao unapigwa fine japo kuwa kuna machine za kukata nyama na kile kibao utatakiwa kuwa nancho kama mbadala wa gogo la mti.

Yaani jamaa anasema kile kiplastic kinawahi kuisha haraka sana ukiringanisha na gogo la mti.

Nikajiuliza kwahiyo tunakula plastic kiasi gani!??



Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Material ya plastic ni hatari kwa afya ya binadamu, hata hizo chopping board za plastic.

Lakini sasa hivi mabucha mengi ya samaki na nyama, wamekuwa na mashine special za kukatia, zinazotumia umeme. Matumizi ya shoka, gogo la mti nk nadhani yalishapitwa na wakati, nimeshangaa kuona huko watu wanatumia magogo ya plastic, kwani zile mashine ni ghari?
 
Juzi nilienda kununua nyama maeneo fulani dodoma. Nilipofika nilikuta bucha safi na la kisasa lakini nilishangazwa kuona hakuna tena lile gogo la mti la kukatia nyama muda huu nilikuta kifaa kama plastic hivi, yaani kina material kama yale ya chopping board... alafu kime chambuka/ kimelika haswaa...

Nikamuuliza jamaa vipi tena magogo ya mti yameenda wapi !?

Yeye Akajibu wamezuia
Mimi: Kwanini!??
Yeye: Hajui ila anafikiri kwamba ni ukataji wa miti umeongezeka ndio sababu magogo yamekatazwa.
Mimi: mbona hicho kama kiplastic
Yeye: Ndio ni plastic na mtakufa sana mwaka huu

Tukaishia kucheka...

Jamaa akaongeza kusema usipo kutwa na hicho kibao unapigwa fine japo kuwa kuna machine za kukata nyama na kile kibao utatakiwa kuwa nancho kama mbadala wa gogo la mti.

Yaani jamaa anasema kile kiplastic kinawahi kuisha haraka sana ukiringanisha na gogo la mti.

Nikajiuliza kwahiyo tunakula plastic kiasi gani!??



Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Wewe ni kiazi haswaaaaa, mpaka leo 2024 unanunua Nyama kwenye Mabucha yanayokata nyama kwa Kucharanga na shoka?????
1. Bodi ya Nyama ilishapiga marufuku ukataji wa Nyama wa aina hiyo.
2. Kukata nyama kwa namna hiyo hupunguza ubora wa Nyama.
3. Kuna baadhi ya mifupa hasa mfupa wa Paja, unapoukata kwa shoka au panga hutoa chembechembe za Mifupa kali mithili ya chupa/miiba hiii ndiyo hatari zaidi kwako unapoimeza tumboni na ndio maaana mnazuiwa kuepuka VIGOGO BUCHANI SASA BASI.
4. Kataa kununua Nyama kwenye Bucha zisizo na Mashine, ni hatari kwa afya yako, kama hakuna umeme wawashe Genereta. Kwa Dar nyama zinakuwa zimeshakatwa na Mashine so anachofanya ni kutumia kisu tu kupunguza ama kuongeza kadri ya kiasi unachohitaji.
 
Wewe ni kiazi haswaaaaa, mpaka leo 2024 unanunua Nyama kwenye Mabucha yanayokata nyama kwa Kucharanga na shoka?????
1. Bodi ya Nyama ilishapiga marufuku ukataji wa Nyama wa aina hiyo.
2. Kukata nyama kwa namna hiyo hupunguza ubora wa Nyama.
3. Kuna baadhi ya mifupa hasa mfupa wa Paja, unapoukata kwa shoka au panga hutoa chembechembe za Mifupa kali mithili ya chupa/miiba hiii ndiyo hatari zaidi kwako unapoimeza tumboni na ndio maaana mnazuiwa kuepuka VIGOGO BUCHANI SASA BASI.
4. Kataa kununua Nyama kwenye Bucha zisizo na Mashine, ni hatari kwa afya yako, kama hakuna umeme wawashe Genereta. Kwa Dar nyama zinakuwa zimeshakatwa na Mashine so anachofanya ni kutumia kisu tu kupunguza ama kuongeza kadri ya kiasi unachohitaji.
Sawa wewe kiazi kabla sijasahau

Anyway umetoa mwongozo mzuri ila tatizo hapa sio kwa mnunuaji mana maziringira ya ukataji nyama ya namna hii yakiwa yamekuzunguka unajikuta hauna budi.

Kumbuka, unapo ongelea Dar sio pote watakuwa wana uwezo au uelewa uliotoa hapa. Pia kama mwongozo wa kukata nyama kwa mashine nimejifunza kwako hapa leo nakili kupokea elimu.

Lakini je unadhani watanzania wote wanajua hilo!?
Unafikiri watanzania wote watah
Goma kutokatiwa nyama na mashine!??

ELIMU NA HAMASA KWA WANAJAMII INAHITAJIKA SANA!.

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom