Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 4,222
- 5,564
Chuo kikuu cha nyerere naskia ni miaka 8 saiz hakijawahi kudahili hata mwanafunzi hata mmoja. Na kina wafanyakazi wanalipwa mishahara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app