Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 224
Jamaa alikuwa anatafuna popcon gafla moja ikadondokea ndani ya shati,jamaa kashusha mkono ndani ya shati akamate ki-popcon chake akitafune mara akakuta amekamata bonge la mende akidhani popcon na kutia mdomoni,akahisi kitu tofauti baada ya kushtuka tumemuona akajifanya ni popcon akatafuna na kumeza,lakini alishindwa kuvumilia akatapika mbaya kabisa.