Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

sasa kidogo nmekuelew asante
 
Hii mbinu kisomi inaitwa Attack from beginning
 
Uhalisia upi???, Hiyo ni research at a very limited place .
👉Haina uhalisia na maeneo mengine, USI shangae tz Kuna malalamiko ya ndoa🤔. Akati kitabu kina sema furaha IPO😀🤣
marekani napo kuna matatizo ya ndoa, lakini haimaanishi kwamba ndoa ni kitu kibaya

na haimaniishi kwamba usipooa ndo umeyaweza maisha hutopata shida yeyote
 
Furaha yangu kubwa imepatikana baada ya kuoa. I was just 25 yrs. Finished Uni and Jobless. The rest is history. Alhamdulillah for the blessing of marriage. #Tawakal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…