Kataa kabisa urafiki au mahusiano ya kawaida na Askari Polisi

Kuna demu mmoja mjeda (police) kanizimikia balaa, unataka kuniambiaje weye.!! alinikamata kosa la barabarani kutoka hapo yaani nataka kuoa kabisa kabisa maana si kwa mambo yale aisee !!
Hayo mambo hayahusiani na mada.

Mambo ya kupenda yana vyanzo vingi mno, tena vingi vikiwa ni haramu.

Mi mwenyewe nyumba yangu ndogo niliipata chanzo kumgonga na pikipiki!

Ile "pole" Na msaada ama wajibu wa matibabu nilioutoa kwake kikawa ndiyo chanzo cha kutuunganisha kimapenzi.
Mtoa mada nadhani anapiga vita urafiki wa kishikaji na si wa kimapenzi.

Mapenzi nani kakwambia unaweza kuyakontroo kwa bandiko kama hili?

Mapenzi ni kama maji ya mafuriko ambayo hauwezi kuyazuia kwa viganja vya mkono.
 
Askari polisi wa Tanzania wamekuwa chanzo cha maumivu ya watu na familia nyingi sana hapo bongo , ni ajabu iliyoje kuona chombo cha dola ambacho ndio kilipaswa kuwa mstari wa mbele kulinda raia na Mali zao kinageuka na kuwa upanga mkali, tena usio na huruma kwa raia

Polisi wengi wa Tanzania ni binadamu wakatili sana, wananjaa kali, wivu wa kimaendeleo kwa raia, bila kusahau wengi wao ni mbumbumbu na bongo lala, walioshindwa shule na biashara hivyo wakaamua kuukimbilia upolisi ambako huko wamejitwika ubabe kutokana na nguvu kubwa waliyopewa na serikali ovu ya ccm ambayo imekuwa ikiwatumia kutekeleza unyama juu ya raia wenye itikadi tofauti na zile za chama chao.

Hatuwezi kukwepa kukutana na polisi katika maisha yetu ya kila siku na kuna wakati nilazima tushirikiane nao ili jamii iwe katika mstari mnyoofu, lakini kamwe usimfanye askari polisi wa Tz kuwa rafiki yako, wala usitengeneze ushkaji na polisi, kataa kabisa kuwa na mahusiano ya aina yoyote yasiyo ya kikazi baina yako na polisi, hao ni Viumbe wenye tamaa na udumavu wa akili, kwao bundiki ndio suluhisho la mizozo yao na bahati mbaya hawawajibishwi ipasavyo, NARUDIA jiwekeni mbali na polisi, na hata akija kama mpangaji katika nyumba uliyopanga wewe hama, na mshkaji wako akiwa polisi mkatae mazima, dada yako au mwanao akitaka kuolewa na polisi vunja uchumba .

#POLISI SIO RAFIKI, POLISI SIO NDUGU, MKATAE POLISI
Mwezi mchanga umekaribia nini? 1/4 ya rafiki zangu ni askari polisi, tunakunywa nao pombe tunafurahi pamoja ispokuwa endapo unavinasaba vya uizi polisi utawaona sumu kali.
 
Ni juzi tu kuna mwana ni derev bajaj alikamatwa na ocd kufik kituon ktk majibizano yule ocd alimpiga kibao mwana mpak alipat maruerue ila uzur mwana hakua mnyonge dlimrukia ocd na kupiga utosi na kuanguka nae chini kuna polisi wengin wanaingilia kati kuamua ugomv ocd amepanic anatak mwana apelekwe mahakaman mkuu wa kituo akaingilia kati na kumlaumu ocd kwa kujichukulia sheria mkononi.
Kuanzia mda ule heshima ilipatikan kwa kila mmoja kumuheshim mwenzake.
moral ni kwamba hupaswi kuwa mnyonge na kuogopa polisi ata kama ana chego gani.
Don't try it, kuna siku consequence itakuwa kubwa
 
Polisi hawezi kutoka kwenye kituo chake cha kazi akaja kumfuata raia bila sababu. Binadamu ndiye kiumbe hatari na kamwe usimwamini.
Unaweza kuwa unaongea kama polisi wenyewe au unaongea kwa kuwa hayajakukuta.

Tarehe 22/12/2023 askari polisi 4 wa kiume wa kituo kikuu cha Polisi Iringa wakiwa wanaongozwa na Inspekta Elijah Paul Bundala mwenye simu na. 0757 046 570 akijitambulisha kuwa anahusika na Dawati la Jinsia walinifuata nyumbani kwa wazazi wangu kuja kuchukua (kupora) watoto wangu. Hapo walikuwa wameambatana na mke wangu ambae ni askari polisi pia (WP), yeye alitokea Dar na kufikia kituoni kwa ajili ya kusuka mipango yake, tuna mgogoro wa kifamilia.

Polisi hao hawakua na RB wala arrest warrant wala hawakua kwenye sare za jeshi (yunifomu).

Kwa hiyo kinachosemwa juu ya Jeshi la Polisi au juu ya askari Polisi ni kitu cha kweli na hakika, ni wahalifu na wavunjifu wa sheria. Wanalitumia jeshi au ofisi za umma kwa manufaa yao binafsi.

Na kama ukimlalamikia Polisi kituo cha polisi jua unapoteza muda maana hakuna hatua atazochukuliwa iwe ni kijeshi au kijinai.

Ahsante sana kwa mitandao ya kijamii kama JF, huku watu wanapaza sauti na zinasikika.

NB: Waliweza kuondoka na watoto. Nilichutama na kufunika kombe. Tuna[/B]
 
Naunga hoja,niliwahi kuwa mtendaji kata kwa muda,likatokea tukio polisi wakaja kutuliza na kuondoka na watuhumiwa sasa polisi mmoja akasema nipe namba yako nikamuuliza yanini,polisi akasema nataka uwe unanishirikisha matukio ya hapa kijijini,nikauliza tena matukio kama yapi,akaanza kujikanyaga kanyaga.

Kiufupi lengo lake likuwa nikunifnya chawa wake niwasaliti wanakijiji wangu kwa kuwa nalipoti matukio ya aneo langu.polisi hawafai kabisa popote walipo
Alikua na nia nzuri,sasa kama kuna tukio la uhalifu unataka ukaripoti wapi
 
Ni juzi tu kuna mwana ni derev bajaj alikamatwa na ocd kufik kituon ktk majibizano yule ocd alimpiga kibao mwana mpak alipat maruerue ila uzur mwana hakua mnyonge dlimrukia ocd na kupiga utosi na kuanguka nae chini kuna polisi wengin wanaingilia kati kuamua ugomv ocd amepanic anatak mwana apelekwe mahakaman mkuu wa kituo akaingilia kati na kumlaumu ocd kwa kujichukulia sheria mkononi.
Kuanzia mda ule heshima ilipatikan kwa kila mmoja kumuheshim mwenzake.
moral ni kwamba hupaswi kuwa mnyonge na kuogopa polisi ata kama ana chego gani.
Umpige polisi utachakaa
 
Ni juzi tu kuna mwana ni derev bajaj alikamatwa na ocd kufik kituon ktk majibizano yule ocd alimpiga kibao mwana mpak alipat maruerue ila uzur mwana hakua mnyonge dlimrukia ocd na kupiga utosi na kuanguka nae chini kuna polisi wengin wanaingilia kati kuamua ugomv ocd amepanic anatak mwana apelekwe mahakaman mkuu wa kituo akaingilia kati na kumlaumu ocd kwa kujichukulia sheria mkononi.
Kuanzia mda ule heshima ilipatikan kwa kila mmoja kumuheshim mwenzake.
moral ni kwamba hupaswi kuwa mnyonge na kuogopa polisi ata kama ana chego gani.
KUna watu ni wajasiri wapo tayar hata kufa
 
Ni juzi tu kuna mwana ni derev bajaj alikamatwa na ocd kufik kituon ktk majibizano yule ocd alimpiga kibao mwana mpak alipat maruerue ila uzur mwana hakua mnyonge dlimrukia ocd na kupiga utosi na kuanguka nae chini kuna polisi wengin wanaingilia kati kuamua ugomv ocd amepanic anatak mwana apelekwe mahakaman mkuu wa kituo akaingilia kati na kumlaumu ocd kwa kujichukulia sheria mkononi.
Kuanzia mda ule heshima ilipatikan kwa kila mmoja kumuheshim mwenzake.
moral ni kwamba hupaswi kuwa mnyonge na kuogopa polisi ata kama ana chego gani.
Hivi OCD na mkuu wa kituo nani ana cheo kikubwa kwenye jeshi la Polisi?Hizi chai zingine!Yaani OCS aingilie kati vita ya OCD na raia?
 
Ni juzi tu kuna mwana ni derev bajaj alikamatwa na ocd kufik kituon ktk majibizano yule ocd alimpiga kibao mwana mpak alipat maruerue ila uzur mwana hakua mnyonge dlimrukia ocd na kupiga utosi na kuanguka nae chini kuna polisi wengin wanaingilia kati kuamua ugomv ocd amepanic anatak mwana apelekwe mahakaman mkuu wa kituo akaingilia kati na kumlaumu ocd kwa kujichukulia sheria mkononi.
Kuanzia mda ule heshima ilipatikan kwa kila mmoja kumuheshim mwenzake.
moral ni kwamba hupaswi kuwa mnyonge na kuogopa polisi ata kama ana chego gani.
Hii chai. Ocd ni boss wa mkuu wa kituo. Kumpiga ama kumdhalilisha bosi wa polisi mbele ya wale anaowasimamia ni kete tosha ya kifo chako kwa polisi wetu.
 
Back
Top Bottom