Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
Waziri mwenye mamlaka popote ulipo.
Kata ya Kishiri wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza ,tumekosa maji safi na salama kwenye familia zetu kwa muda wa week mbili sasa.
Hapo katikati Mheshimiwa ulikuja kama siku tatu, waka achia maji ulivyo ondoka ukaondoka nao.
Tuki piga simu MWAUWASA wanasema tatizo hakujaripotiwa ofisini kwao.
Tuna tumia maji ya majaribani pamoja na wanyama.
Tunaomba tatizo kipokelewe na kushughulikiwa. Pia, tupewe mwongozo ni namna gani MWAUWASA wanataka kero ya maji iripotiwe kwao na waweze kushughulikia kwa wakati!
Nipo tayari kutoa ushirikiano endapo itahitajika. Pengine kuna mtu ana uhujumu MWAUWASA . Ziwa Victoria lipo Mwanza na Kishiri tunakufa kiu kweli?
Kata ya Kishiri wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza ,tumekosa maji safi na salama kwenye familia zetu kwa muda wa week mbili sasa.
Hapo katikati Mheshimiwa ulikuja kama siku tatu, waka achia maji ulivyo ondoka ukaondoka nao.
Tuki piga simu MWAUWASA wanasema tatizo hakujaripotiwa ofisini kwao.
Tuna tumia maji ya majaribani pamoja na wanyama.
Tunaomba tatizo kipokelewe na kushughulikiwa. Pia, tupewe mwongozo ni namna gani MWAUWASA wanataka kero ya maji iripotiwe kwao na waweze kushughulikia kwa wakati!
Nipo tayari kutoa ushirikiano endapo itahitajika. Pengine kuna mtu ana uhujumu MWAUWASA . Ziwa Victoria lipo Mwanza na Kishiri tunakufa kiu kweli?