Hahaa.....Huko si ndio wake zenu waliandamana wanaume hamna nguvu za kiume,Huko si ndio kuna wale vijana wa hovyo wanao jiita wadudu wanywa pombe kali ,Huko si ndio kuna wagokolewa taka na mpka wanaolewa nje ya nchi ..hebu tupumzishe huko ndo masela mavi kibao wanatoka hakuna wajanja.