Kasindee Kasindee Kasindee....hovyooooo!!!

Kasindee Kasindee Kasindee....hovyooooo!!!

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Yaani kuna watu wanaboa jamani, nilikuwa na week end yangu murua pande za Lushoto nilikuwa kwenye kiota flani hv. Nilitoka kazini ijumaa muda wa lunch nikakanyaga wese mdogo mdogo nikafika mombo kwenye saa 3. Nikaagizia mbuzi nikawa nakula taratibu kwenye meza nilikaa na watu mara bin vuu nikasikia mbaba mmoja aliyekuwa anapiga debe chai ya maziwa, rangi, kahawa, ya viungo na blah blah akaanza kuita kwanguvu Kasinde Kasinde Kasindee huku akiangalia huku na huku kuona kama ataitika mtu. Nilisikia ila nami nikaangaza kuangalia kama kuna Kasinde mwingine. Alipoona hakuna anayeitikia akanyamaza.
Nikawaza badae nikajua yule mbaba muuza chai alitumwa na mtu, aliniboa kwakweli maana kama mtu umeniona mahali na unataka kunisalimia si unifate tuu na kunisalimia kistaarabu kuliko kuniita kwa kupayuka hivo.
Wakati nakula yaliingia magari mengi mengi hivo pia watu walikuwa wengi. Nsharudi zangu home kesho ofcn another week end kula ujana tena. Ila hii tabia si nzuri looh
 
wkend lushoto.....ulienda mpaka kule juu kwenye hotel ya mkapa....?....dah nimeimiss lushoto....hakika nitarudi mana niliyafurahia mazingira....
 
Kama hajaja kukusumbua basi ujue kuna Kasinde mwingine
 
Kasindee;
Duh! Yu are expensive jamani, Dah! Week end Lushoto or was it Lusoto! So far from Dar? Weye ndo mwenyewe, tena mtoto upo peke yako kwenye ki box chako, na musiki muruwaaaa.
We, nyamaza usilete balaa hapa. Kumbe namuota Kasindee
 
Yaani kuna watu wanaboa
jamani, nilikuwa na week end yangu murua pande za Lushoto nilikuwa
kwenye kiota flani hv. Nilitoka kazini ijumaa muda wa lunch nikakanyaga
wese mdogo mdogo nikafika mombo kwenye saa 3. Nikaagizia mbuzi nikawa
nakula taratibu kwenye meza nilikaa na watu mara bin vuu nikasikia mbaba
mmoja aliyekuwa anapiga debe chai ya maziwa, rangi, kahawa, ya viungo
na blah blah akaanza kuita kwanguvu Kasinde Kasinde Kasindee huku
akiangalia huku na huku kuona kama ataitika mtu. Nilisikia ila nami
nikaangaza kuangalia kama kuna Kasinde mwingine. Alipoona hakuna
anayeitikia akanyamaza.
Nikawaza badae nikajua yule mbaba muuza chai alitumwa na mtu, aliniboa
kwakweli maana kama mtu umeniona mahali na unataka kunisalimia si
unifate tuu na kunisalimia kistaarabu kuliko kuniita kwa kupayuka hivo.
Wakati nakula yaliingia magari mengi mengi hivo pia watu walikuwa wengi.
Nsharudi zangu home kesho ofcn another week end kula ujana tena. Ila
hii tabia si nzuri looh

pole kasi... alikuhalibia siku ila....
 
du kweli wewe@kasinde, aya mama, hongera sana, wacha niendelee kusikiliza wimbo wa john legend all of me.
 
Sina hakika na ulichokiandika kama ni sahihi au ubishoo, lakini nina hakika kuwa watanzania ni watu wanaojifunza haraka mambo mapya na kujitahidi kwenda na wakati kulingana na teknolojia iliyopo.wewe kama unajinadi kwenye mitandao kama mtu maarufu sana au kuanika mambo yako hadharani na katika mitandao ya kijamii, basi kwa vyovyote vile lazima ujifunze kuvumilia athali za umaarufu na utandawazi.Inawezekana kama hapa hujitangazii umaarufu basi kuna mtu amekutambua na kuamua kukuchokoza kwa mtindo huo, kwa hiyo unapaswa kufurahia hali hiyo na sio kuja kulialia mtanadaoni.Kumbuka wasanii wengi pale Hollywood wanapoingia huwa hawazingatii athali za umaarufu hata kama wameutafuta kwa nguvi, ila wanagundua baada ya kuwa maarufu kuwa ni tatizo. kwa maana hiyo ulitaka kuwa maarufu na labda ni maarufu tayari hivyo mtu wa kibondo akikutambua na kukukejeli kwa kuwa anasoma makala zako basi hupaswi kuja kulalamika hapa unapaswa kumezea tu kwa kuwa ni wewe mwenyewe kwa hiari yako ulichapisha machapisho ambayo watu walijenga hisia ya tabia na muonekano wako.
 
Yaani kuna watu wanaboa jamani, nilikuwa na week end yangu murua pande za Lushoto nilikuwa kwenye kiota flani hv. Nilitoka kazini ijumaa muda wa lunch nikakanyaga wese mdogo mdogo nikafika mombo kwenye saa 3. Nikaagizia mbuzi nikawa nakula taratibu kwenye meza nilikaa na watu mara bin vuu nikasikia mbaba mmoja aliyekuwa anapiga debe chai ya maziwa, rangi, kahawa, ya viungo na blah blah akaanza kuita kwanguvu Kasinde Kasinde Kasindee huku akiangalia huku na huku kuona kama ataitika mtu. Nilisikia ila nami nikaangaza kuangalia kama kuna Kasinde mwingine. Alipoona hakuna anayeitikia akanyamaza.
Nikawaza badae nikajua yule mbaba muuza chai alitumwa na mtu, aliniboa kwakweli maana kama mtu umeniona mahali na unataka kunisalimia si unifate tuu na kunisalimia kistaarabu kuliko kuniita kwa kupayuka hivo.
Wakati nakula yaliingia magari mengi mengi hivo pia watu walikuwa wengi. Nsharudi zangu home kesho ofcn another week end kula ujana tena. Ila hii tabia si nzuri looh


Mweeh!!

Ibara ya 19 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniainatoa uhuru wa kutoa habari na kujieleza kama wewe na mimi tunavyofanya.Lakini kwenye kamba/uzi wako hapo juu haujaitendea Haki Katiba, Bali ume- abuse.Otherwise ulitakiwa ushitakiwe kwa matumizi mabaya ya Raslimali na ku-polluteenvornment hii. (E-environment) or JF server
 
Alikujuaje kama wewe ndie kasinde?

Au huyo kwa avatar ndie kasinde mwenyewe?
 
Hivi mmemuelewa huyu,Lushoto,lushoto,lushoto so what,tunajifunza nn hapa,MAJIGAMBO,KUJIKWEZA au nn,badliken bhana toeni thread zenye mashiko.
 
Mweeh!!

Ibara ya 19 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniainatoa uhuru wa kutoa habari na kujieleza kama wewe na mimi tunavyofanya.Lakini kwenye kamba/uzi wako hapo juu haujaitendea Haki Katiba, Bali ume- abuse.Otherwise ulitakiwa ushitakiwe kwa matumizi mabaya ya Raslimali na ku-polluteenvornment hii. (E-environment) or JF server

hahahahah kapolute E_enviroment

4th type of pollution ..E
 
wkend lushoto.....ulienda mpaka kule juu kwenye hotel ya mkapa....?....dah nimeimiss lushoto....hakika nitarudi mana niliyafurahia mazingira....

lakini kuko na baridi sana kule duu lushoto kuzurije
 
kasinde nilikumiss mzee wa kuvuka border huhuhuuuu tisha sana
 
Yaani kuna watu wanaboa jamani, nilikuwa na week end yangu murua pande za Lushoto nilikuwa kwenye kiota flani hv. Nilitoka kazini ijumaa muda wa lunch nikakanyaga wese mdogo mdogo nikafika mombo kwenye saa 3. Nikaagizia mbuzi nikawa nakula taratibu kwenye meza nilikaa na watu mara bin vuu nikasikia mbaba mmoja aliyekuwa anapiga debe chai ya maziwa, rangi, kahawa, ya viungo na blah blah akaanza kuita kwanguvu Kasinde Kasinde Kasindee huku akiangalia huku na huku kuona kama ataitika mtu. Nilisikia ila nami nikaangaza kuangalia kama kuna Kasinde mwingine. Alipoona hakuna anayeitikia akanyamaza.
Nikawaza badae nikajua yule mbaba muuza chai alitumwa na mtu, aliniboa kwakweli maana kama mtu umeniona mahali na unataka kunisalimia si unifate tuu na kunisalimia kistaarabu kuliko kuniita kwa kupayuka hivo.
Wakati nakula yaliingia magari mengi mengi hivo pia watu walikuwa wengi. Nsharudi zangu home kesho ofcn another week end kula ujana tena. Ila hii tabia si nzuri looh
mkuu mombo ipi uliyokua unasimulia?? na ulikua unatokea sumba wanga au mtwara?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom