Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,796
- 20,205
Una wivu weweeee..... hadi na wewe unaishia kutafuta sofa๐๐๐
Ungekua mke mwenzangu ningekufunza kwa vitendo na ungeishia kungejinyonga tuu๐๐
๐ ๐ ๐
Una wivu weweeee..... hadi na wewe unaishia kutafuta sofa๐๐๐
Ungekua mke mwenzangu ningekufunza kwa vitendo na ungeishia kungejinyonga tuu๐๐
Mataga na sukuma gang ni kina nani?
Hebu wataje kwa majina
Mataga na sukuma gang ni kina nani?
Hebu wataje kwa majina
Asante sana mkuuNamkubali Sana huyu PM ,namtakia kila la kheri kwenye mbio zake za urais
Kwenu kuna mfumo?
Wewe kipi ulicholifanyia taifa hili?
Huko upinzani kuna nani ya kunifanya niharibu kura yangu kumpa? Yule chizi wa ubeleji? Are you serious?
Umesema vyema, hiyo itatokea endapo watacheza karata zao vizuri, ikiwa ni pamoja na kupata mtu credible na mwenye kuweza kuaminika kupewa uongozi wa nchi.
Hapo unyonge wenu Ni upi?UTENDAJI KAZI: MAJALIWA KASSIM MAJALIWA
โขTarehe 10/4/2021 anafanya ziara kukagua ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji na kuwaahidi Watanzania kuwa ujenzi utaendelea kama kawaida na kumalizika kwa muda uliopangwa.
โขTarehe 19/4/2021 anakwenda kuukagua mradi wa mabasi ya mwendokasi baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya Ufanisi wa mradi huo, anakuta utendaji ni mbovu anamsimamisha kazi mkurugenzi wa fedha wa mradi huo Susana Steven Chaula.
โขTarehe 19/4 /2021 anakwenda kukagua bandari ya nchi kavu Ubungo Baada ya magari ya mizigo kukwama kwa zaidi ya siku tatu..anafanya mazungumzo na madereva pamoja na watendaji wa bandari
โขTarehe 19/4/2021 anafanya ziara kiwanda cha kuunganisha magari cha GFA kilichopo Kibaha, Pwani. Anawahakikishia wawekezaji hao kuwa Vijana wa kitanZania ni waaminifu. Siku kadhaa baada ya Spika wa bunge kunukuliwa akisema vijana wa Kitanzania SIO waaminifu.
โขTarehe 21/4/2021 anaenda kukagua ujenzi wa stesheni ya Treni ya umeme iliyopo Pugu Dar, anasema "Mradi utaenda kama JPM alivyoahidi.."
โขTarehe 20/5/2021 anafanya ziara Tanesco. Anazungumza na uongozi wa Tanesco kuhusu tatizo lililojitokeza katika ununuaji wa LUKU lililopelekea wananchi washindwe kununua LUKU siku tatu mfululizo, anaamuru meneja Tehama na wenzake waendelee kukaa pembeni kupisha uchunguzi.
โขTarehe 28/5/2021 anafanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha, anakuta watendaji wa wizara hiyo wakijilipa posho ya zaidi ya billioni 1.6 kwa kazi zisizochukua hata nusu saa, anawasimamisha kazi watendaji wakuu saba.
Mkuu umenena....kutakuwa Kuna tatizo kubwa la mfumo wa kudhibiti fedha wizarani....hivi kweli watendaji watafanyaje malipo hewa wizarani....uongozi upo... na taratibu zipo....pesa inatokaje Waziri mkuu.....waziri na Katibu wake wasijue.Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Watumishi wa wizara wanajilipa posho za mabilioni wakati sisi huku vijijini hatuna zahanati, shule mbovu na hazina vifaa, maji, barabara, nk, na hakuna anayetujali, ukiwemo wewe!Hapo unyonge wenu Ni upi?
K*** mae nimecheka hatari, mimi sinaga tabia ya kumsema Rais ila siku hiziMajaliwa ndiye ajaye bila shaka. Kwa sasa ni kama hatuna Rais vile.
Mama ndo kampa nguvu...Majaliwa ndiye ajaye bila shaka. Kwa sasa ni kama hatuna Rais vile.
Majaliwa for presidency 2025UTENDAJI KAZI: MAJALIWA KASSIM MAJALIWA
โขTarehe 10/4/2021 anafanya ziara kukagua ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji na kuwaahidi Watanzania kuwa ujenzi utaendelea kama kawaida na kumalizika kwa muda uliopangwa.
โขTarehe 19/4/2021 anakwenda kuukagua mradi wa mabasi ya mwendokasi baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya Ufanisi wa mradi huo, anakuta utendaji ni mbovu anamsimamisha kazi mkurugenzi wa fedha wa mradi huo Susana Steven Chaula.
โขTarehe 19/4 /2021 anakwenda kukagua bandari ya nchi kavu Ubungo Baada ya magari ya mizigo kukwama kwa zaidi ya siku tatu..anafanya mazungumzo na madereva pamoja na watendaji wa bandari
โขTarehe 19/4/2021 anafanya ziara kiwanda cha kuunganisha magari cha GFA kilichopo Kibaha, Pwani. Anawahakikishia wawekezaji hao kuwa Vijana wa kitanZania ni waaminifu. Siku kadhaa baada ya Spika wa bunge kunukuliwa akisema vijana wa Kitanzania SIO waaminifu.
โขTarehe 21/4/2021 anaenda kukagua ujenzi wa stesheni ya Treni ya umeme iliyopo Pugu Dar, anasema "Mradi utaenda kama JPM alivyoahidi.."
โขTarehe 20/5/2021 anafanya ziara Tanesco. Anazungumza na uongozi wa Tanesco kuhusu tatizo lililojitokeza katika ununuaji wa LUKU lililopelekea wananchi washindwe kununua LUKU siku tatu mfululizo, anaamuru meneja Tehama na wenzake waendelee kukaa pembeni kupisha uchunguzi.
โขTarehe 28/5/2021 anafanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha, anakuta watendaji wa wizara hiyo wakijilipa posho ya zaidi ya billioni 1.6 kwa kazi zisizochukua hata nusu saa, anawasimamisha kazi watendaji wakuu saba.