Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,369
- 81,786
Labda aanzishe mapambano akiwa nje ya ccm! Ukishakuwa ndani ya ccm, kamwe huwezi kuwa Mzalendo.Muunge mkono Kassim Majaliwa sasa
Labda aanzishe mapambano akiwa nje ya ccm! Ukishakuwa ndani ya ccm, kamwe huwezi kuwa Mzalendo.Muunge mkono Kassim Majaliwa sasa
MSIWAKATISHE TAMAA WAKUSANYAJI MAPATO:Labda aanzishe mapambano akiwa nje ya ccm! Ukishakuwa ndani ya ccm, kamwe huwezi kuwa Mzalendo.
Cha kushangaza unaweza kuwa unasema majaliwa hafai kisha ukasema mama ndo anafaa. Nani kwako unaona anafaa?Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Ishu ni kwamba, Nchi yetu imeoza! Kila sekta watu wanapiga tu. Na sababu kubwa ni uwepo wa ccm, chama kinachpenda kuwalinda na kuwakumbatia wahalifu.MSIWAKATISHE TAMAA WAKUSANYAJI MAPATO:
Mhe.Kassim Majaliwa PM:
Aliagiza kusimamishwa kazi kwa mkaguzi mkuu,mkaguzi msaidizi na baadhi ya watumishi wa wizara ya fedha na mipango kupisha uchunguzi juu ya tuhuma ya ufujaji wa pesa unaowakabili.
"Mmetenga mil 279 mkasema zimetumika kwenye kazi maalumu bila kutujuza hiyo kazi maalumu ni ipi na alieifanya kazi hiyo ni nani ilifanyika lini na wapi" Majaliwa.
"Msiwakatishe tamaa wakusanyaji mapato,wapo kule TRA wanakusanya mapato,wapo halmashauri,wapo watendaji wa serikali za mitaa huko wanafanya kazi kubwa sana ya ukusanyaji mapato,msiwakatishe tamaa wafanyeni kuwa na imani na wizara ili wawe na uhakika na imani na kazi zao" Majaliwa.
Ni waziri mkuu Mhe.Kassim Majaliwa kwenye mkutano na wakuu wa wizara ya fedha pale ukumbi wa hazina jijini Dodoma.
Nini fikra zako.
Kwako wewe ni one man show!! Lkn kwetu sisi tunaamini ni mtu aliyepikwa na akapikika vya kutosha! na mwamba JPM. Ndo maana aliumia sana kwa kifo cha JPM. Majaliwa ndiye rais ajaye Tanzania hii, kama huamini! kamuulize ndugu yako mayala.Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Old wine in old bottles!UTENDAJI KAZI: MAJALIWA KASSIM MAJALIWA
•Tarehe 10/4/2021 anafanya ziara kukagua ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji na kuwaahidi Watanzania kuwa ujenzi utaendelea kama kawaida na kumalizika kwa muda uliopangwa.
•Tarehe 19/4/2021 anakwenda kuukagua mradi wa mabasi ya mwendokasi baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya Ufanisi wa mradi huo, anakuta utendaji ni mbovu anamsimamisha kazi mkurugenzi wa fedha wa mradi huo Susana Steven Chaula.
•Tarehe 19/4 /2021 anakwenda kukagua bandari ya nchi kavu Ubungo Baada ya magari ya mizigo kukwama kwa zaidi ya siku tatu..anafanya mazungumzo na madereva pamoja na watendaji wa bandari
•Tarehe 19/4/2021 anafanya ziara kiwanda cha kuunganisha magari cha GFA kilichopo Kibaha, Pwani. Anawahakikishia wawekezaji hao kuwa Vijana wa kitanZania ni waaminifu. Siku kadhaa baada ya Spika wa bunge kunukuliwa akisema vijana wa Kitanzania SIO waaminifu.
•Tarehe 21/4/2021 anaenda kukagua ujenzi wa stesheni ya Treni ya umeme iliyopo Pugu Dar, anasema "Mradi utaenda kama JPM alivyoahidi.."
•Tarehe 20/5/2021 anafanya ziara Tanesco. Anazungumza na uongozi wa Tanesco kuhusu tatizo lililojitokeza katika ununuaji wa LUKU lililopelekea wananchi washindwe kununua LUKU siku tatu mfululizo, anaamuru meneja Tehama na wenzake waendelee kukaa pembeni kupisha uchunguzi.
•Tarehe 28/5/2021 anafanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha, anakuta watendaji wa wizara hiyo wakijilipa posho ya zaidi ya billioni 1.6 kwa kazi zisizochukua hata nusu saa, anawasimamisha kazi watendaji wakuu saba.
Ukiulizwa ulichopinga siajabu ukasema haujui, one man show ndio nini au unakariri tu, kwahiyo kazi zake ulitaka afanye nani, binadamu tuna matatizo mengi ila yako ya mezidi, yaan unaonekana umelewa hata kama sikuoniHuyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Mbona unamuunga mkono Samia?Labda aanzishe mapambano akiwa nje ya ccm! Ukishakuwa ndani ya ccm, kamwe huwezi kuwa Mzalendo.
Huyu ndiye YULE ajaye!!!UTENDAJI KAZI: MAJALIWA KASSIM MAJALIWA
•Tarehe 10/4/2021 anafanya ziara kukagua ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji na kuwaahidi Watanzania kuwa ujenzi utaendelea kama kawaida na kumalizika kwa muda uliopangwa.
•Tarehe 19/4/2021 anakwenda kuukagua mradi wa mabasi ya mwendokasi baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya Ufanisi wa mradi huo, anakuta utendaji ni mbovu anamsimamisha kazi mkurugenzi wa fedha wa mradi huo Susana Steven Chaula.
•Tarehe 19/4 /2021 anakwenda kukagua bandari ya nchi kavu Ubungo Baada ya magari ya mizigo kukwama kwa zaidi ya siku tatu..anafanya mazungumzo na madereva pamoja na watendaji wa bandari
•Tarehe 19/4/2021 anafanya ziara kiwanda cha kuunganisha magari cha GFA kilichopo Kibaha, Pwani. Anawahakikishia wawekezaji hao kuwa Vijana wa kitanZania ni waaminifu. Siku kadhaa baada ya Spika wa bunge kunukuliwa akisema vijana wa Kitanzania SIO waaminifu.
•Tarehe 21/4/2021 anaenda kukagua ujenzi wa stesheni ya Treni ya umeme iliyopo Pugu Dar, anasema "Mradi utaenda kama JPM alivyoahidi.."
•Tarehe 20/5/2021 anafanya ziara Tanesco. Anazungumza na uongozi wa Tanesco kuhusu tatizo lililojitokeza katika ununuaji wa LUKU lililopelekea wananchi washindwe kununua LUKU siku tatu mfululizo, anaamuru meneja Tehama na wenzake waendelee kukaa pembeni kupisha uchunguzi.
•Tarehe 28/5/2021 anafanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha, anakuta watendaji wa wizara hiyo wakijilipa posho ya zaidi ya billioni 1.6 kwa kazi zisizochukua hata nusu saa, anawasimamisha kazi watendaji wakuu saba.
Nyinyi watu wengine sijui huwa mnafikiri kwa kutumia brain za namna gani?UTENDAJI KAZI: MAJALIWA KASSIM MAJALIWA
•Tarehe 10/4/2021 anafanya ziara kukagua ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji na kuwaahidi Watanzania kuwa ujenzi utaendelea kama kawaida na kumalizika kwa muda uliopangwa.
•Tarehe 19/4/2021 anakwenda kuukagua mradi wa mabasi ya mwendokasi baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya Ufanisi wa mradi huo, anakuta utendaji ni mbovu anamsimamisha kazi mkurugenzi wa fedha wa mradi huo Susana Steven Chaula.
•Tarehe 19/4 /2021 anakwenda kukagua bandari ya nchi kavu Ubungo Baada ya magari ya mizigo kukwama kwa zaidi ya siku tatu..anafanya mazungumzo na madereva pamoja na watendaji wa bandari
•Tarehe 19/4/2021 anafanya ziara kiwanda cha kuunganisha magari cha GFA kilichopo Kibaha, Pwani. Anawahakikishia wawekezaji hao kuwa Vijana wa kitanZania ni waaminifu. Siku kadhaa baada ya Spika wa bunge kunukuliwa akisema vijana wa Kitanzania SIO waaminifu.
•Tarehe 21/4/2021 anaenda kukagua ujenzi wa stesheni ya Treni ya umeme iliyopo Pugu Dar, anasema "Mradi utaenda kama JPM alivyoahidi.."
•Tarehe 20/5/2021 anafanya ziara Tanesco. Anazungumza na uongozi wa Tanesco kuhusu tatizo lililojitokeza katika ununuaji wa LUKU lililopelekea wananchi washindwe kununua LUKU siku tatu mfululizo, anaamuru meneja Tehama na wenzake waendelee kukaa pembeni kupisha uchunguzi.
•Tarehe 28/5/2021 anafanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha, anakuta watendaji wa wizara hiyo wakijilipa posho ya zaidi ya billioni 1.6 kwa kazi zisizochukua hata nusu saa, anawasimamisha kazi watendaji wakuu saba.
Naona musiba aka veronica mmepata tenda ya kumfanyia promo Majaliwa.Kwako wewe ni one man show!! Lkn kwetu sisi tunaamini ni mtu aliyepikwa na akapikika vya kutosha! na mwamba JPM. Ndo maana aliumia sana kwa kifo cha JPM. Majaliwa ndiye rais ajaye Tanzania hii, kama huamini! kamuulize ndugu yako mayala.
Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Huko upinzani kuna nani ya kunifanya niharibu kura yangu kumpa? Yule chizi wa ubeleji? Are you serious?watanzania wanasubiria na bakora zao tayari kuwapa wapinzani kura zote kwa asilimia zote.
Ila hiyo itatokea endapo tu wapinzani watacheza uzuri karata zao.
No, the dude is doing his job as is supposed to.Kwa hiyo mnampigia chapuo kwenye uprezidaa...