Daudi Paul
Member
- Feb 1, 2011
- 78
- 23
Wadau nauliza?
Hivi hawa jamaa wa Airtel wanamaana gani kututangazia kuwa mtandao wao una kasi ya 3.75 G,ili khali hamna lolote, hapa Singida tulipo ni nafuu ya mwendo wa kobe.
Hakuna kipengele cha sheria kinacho wabana hawa jamaa, Ushauri plzs.
Hivi hawa jamaa wa Airtel wanamaana gani kututangazia kuwa mtandao wao una kasi ya 3.75 G,ili khali hamna lolote, hapa Singida tulipo ni nafuu ya mwendo wa kobe.
Hakuna kipengele cha sheria kinacho wabana hawa jamaa, Ushauri plzs.