Kashfa za magufuli mikononi mwa "wabaya"wake

Kashfa za magufuli mikononi mwa "wabaya"wake

Seif al Islam

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
2,156
Reaction score
640
Taarifa za kuaminika toka wizara kadhaa ambako huyo bwana amewahi kufamya kazi zinaeleza kuwa mafaili machafu na vimemo vya dili vimechukuliwa kwa "gharama kubwa" na wapinzani wake wa nje na ndani ya CCM kwaajili ya shughuli maalumu.
Msiri wangu anayefahamu mpango huo anaeleza kuwa taarifa hizo n nyingi na chafu kuliko inavyoweza kudhaniwa na kwamba zitamvua nguo muhusika oindi zitakapowekwa hadharani.
TUSUBIRI
 
Taarifa za kuaminika toka wizara kadhaa ambako huyo bwana amewahi kufamya kazi zinaeleza kuwa mafaili machafu na vimemo vya dili vimechukuliwa kwa "gharama kubwa" na wapinzani wake wa nje na ndani ya CCM kwaajili ya shughuli maalumu.
Msiri wangu anayefahamu mpango huo anaeleza kuwa taarifa hizo n nyingi na chafu kuliko inavyoweza kudhaniwa na kwamba zitamvua nguo muhusika oindi zitakapowekwa hadharani.
TUSUBIRI

Mkuu utashitakiwa kumchafua mtu bila ya kuwa na vielelezo, pamoja na huyo msiri wote mpo matatani
 
Mkuu utashitakiwa kumchafua mtu bila ya kuwa na vielelezo, pamoja na huyo msiri wote mpo matatani

huyu ni mwizi ..CAG ameonyesha hayo kwenye report yake ya ukaguzi mwaka huu..bado tunataka majibu ile nyumba aliyomuuzia demu wake Sindi kwa 170,000/= TZS ,bado aje atuambie alikuwa anaenda kulala mabibo hostel kufanya nini wakati ana kwake? bado aje atueleze kwa nini kila mwaka wa uchaguzi kabla ya uchaguzi mtoto wake lazima afe? sasa mwaka huu sijui nani atakufa
 
huyu ni mwizi ..CAG ameonyesha hayo kwenye report yake ya ukaguzi mwaka huu..bado tunataka majibu ile nyumba aliyomuuzia demu wake Sindi kwa 170,000/= TZS ,bado aje atuambie alikuwa anaenda kulala mabibo hostel kufanya nini wakati ana kwake? bado aje atueleze kwa nini kila mwaka wa uchaguzi kabla ya uchaguzi mtoto wake lazima afe? sasa mwaka huu sijui nani atakufa
NAMJIBIA
(1)Alimuuzia ile nyumba ya pale Ubungo Sundi Malomo kwa vile ni demu wake
(2)Alikuwa anaenda usiku Mabibo Hostel akiwa amevaa kofia kuuubwa la pama kwa sababu wakati huo Sundi Malomo alikuwa anaishi Mabibo Hostel!
 
huyu ni mwizi ..CAG ameonyesha hayo kwenye report yake ya ukaguzi mwaka huu..bado tunataka majibu ile nyumba aliyomuuzia demu wake Sindi kwa 170,000/= TZS ,bado aje atuambie alikuwa anaenda kulala mabibo hostel kufanya nini wakati ana kwake? bado aje atueleze kwa nini kila mwaka wa uchaguzi kabla ya uchaguzi mtoto wake lazima afe? sasa mwaka huu sijui nani atakufa

Mamaaaa! Hiyo sentensi ya mwisho ni ya kuiangalia kwa makini sana. Inanikumbusha ile thread hapa JF kuhusu mauaji ya ndugu zetu Albino kule Chato kwa nini mwakilishi wa wananchi wa eneo hilo alikuwa hakemei? Kweli nimeamini kwenye hesabu kuwa hazidanganyi 1+1 = 3 (why 3? Kwa vile iko moja nyingine hujaiona)
 
Wanaanzisha ugomvi wa mawe wakati wanaishi jumba la vioo..
 
Humuwezi kumchafua Magufuli kwa uroho wenu wa madaraka
 
huyu ni mwizi ..CAG ameonyesha hayo kwenye report yake ya ukaguzi mwaka huu..bado tunataka majibu ile nyumba aliyomuuzia demu wake Sindi kwa 170,000/= TZS ,bado aje atuambie alikuwa anaenda kulala mabibo hostel kufanya nini wakati ana kwake? bado aje atueleze kwa nini kila mwaka wa uchaguzi kabla ya uchaguzi mtoto wake lazima afe? sasa mwaka huu sijui nani atakufa

Safari hii atakufa yeye akiwa kwenye kampeni.
 
Mamaaaa! Hiyo sentensi ya mwisho ni ya kuiangalia kwa makini sana. Inanikumbusha ile thread hapa JF kuhusu mauaji ya ndugu zetu Albino kule Chato kwa nini mwakilishi wa wananchi wa eneo hilo alikuwa hakemei? Kweli nimeamini kwenye hesabu kuwa hazidanganyi 1+1 = 3 (why 3? Kwa vile iko moja nyingine hujaiona)

Nashukuru umenifungua kwa nini 1+1=3 sijawahi kujua kama hiyo ndio sababu "yaani iko moja nyingine hujaiona"
 
Naona kazi imeanza sasa kufika octoba tutasikia mengi
 
Back
Top Bottom