Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Ni kosa kutoa siri za vikao vya baraza la mawaziri,lowassa haaminiki, kama anaweza kutoa siri za vikao, tutawezaje kumwamini kwa kumpa nchi yetu aisimamie, akamatwe na kushtakiwa kwa kuyaleta mambo ya vikao katika public;
Government Negotiation team ni Baraza la Mawaziri? Mtanyooka mwaka huu