Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

Mimi ni mmja wa waathirika wa tigo hawajarudisha hela yangu yangu tarehe 17-8-2016
 
Hamien voda vida raha sana customer wao

Lakin kwa wenzetu kenya ukikosea kutuma ikienda jwa mtu mwingne hayo andika maumivu maana hairudish na kama huyo mtu akinunua tu salio kwa hyo m.pesa n bhas kabsa uwezekano wakurudi n bhas hata uangaike na customers care wanakwambia kabisa umeshafeli

Safarcom n hatar sana
 

Me kuna laki moja wanayo Paka Leo since sept.kila nkipiga cmu hola
 
Nina jamaa yangu alizuiliwa laki na 45 ni mwezi sasa hajarudishiwa.....
Hawa ni wezi hatarii
 
Iyooo ni kweli kabisa walitusumbua sana kama wiki mbili ikabidi tuwafuate makao makuu. Makumbusho na bado tukaenda mpaka mlimani city ndo wakatuambia twna tusubiri baada ya masaa 24 itarudi...aseee waache uspoti spoti kabisa na pesa za watu
 
Hameni minilishatupa lain siku nyingi niko Airtel na Vodacom baada ya kuwashitukia na kulaumiwa na kuwa tigo mfilisi
 
Wadau inabidi tushauriane nini cha kufanya na hatua zipi tufuate maana mimi hawa tigo wameshanilizia 103000 niliituma kimakosa toka tarehe 25/12/2016 mpaka leo sijaipata na huduma kwa wateja kila siku wananipa masaa ya kusubiri..
 

duh aisee pole sana kwa maelezo hayo maelezoyako hiyo hela hesabia tu kama umetoa sadaka. inauma kwakweli
 

bora umeeleza vizuri vikaeleweka, ila je kama namba haipatikani kabisa, mfano mimi nna laini ya tigo niliisajili lakini sijawah itumia nna kama miezi miwili
 
Wezi tu hao mbona Vodacom ukikosea ndani ya saa 24 unakuwa umerudishiwa fedha yako
Vodacom mtambo sana. Mm nikitaka kutuma pesa ni voda halafu mawakala wao wapo wengi sana.
 
Mimi wameshanipiga Mara 3. Mwezi mei, mwezi septemba na Oktoba. Jumla elfu 6500 hv. Wabaya sana Tigo kwa sasa. Tutafute ufumbuzi.
 
Tigo ni jipu. Ukiweka salio na kama hujajiunga na kifurushi chochote lazima huwa wanakukata tu
Hili ni pigo kubwa sana kwa watumiaji wengi wa tigo. Huwa siachi hata sh 1. Nikiweka salio najiunga basi. Hio ndio pona ya hela yangu.
 
Voda wanaiba tu salio la vocha...

Kwenye M-pesa wamefaulu uaminifu.

Tigo hovyo kabisa, ndio maana walipewa cheo cha ule mchezo mchafu...
Voda huwa hawaibi salio la vocha. Ukiwa unaona salio lako linapungua baada ya kiweka vocha jaribu kuhakiki mambo haya;
1. Angalia kama kuna huduma za kulipia ulizojiunga nazo. Mfano: Caller tune, huduma za kupata habari kama nipashe, kabumbu, mwananchi, sokoni, etc..

2. Angalia kama simu yako ni Tecno au Aitel. Hizi simu huwa zinakuwa na uwezo wa data hata zikiwa zile simu ndogo za burtton. Hakikisha umezima data.
Aidha, kama unatumia smartphone hakikksha umezima data kabla ya kuweka vocha.

3. Hakikisha hudaiwi nipige tafu.

Nasisitiza tena, VODACOM HAIWEZI KUKUIBIA VOCHA
 
Ulishawahi kutuma pesa kwa kutumia vodacoma wewe?
 
Ni pm namba uliyoitumia hiyo pesa mkuu
 
Aliyeibiwa ni mimi au wewe?

Na waliahidi kurudisha salio langu ila mpaka kesho hawajanirudishia.

Pathetic!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…