Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,683
- 272,541
- Thread starter
-
- #61
Sasa kama hela wameizuia na hawarudishi ilikotoka maana yake nini ?*Ninachofahamu Mimi ni kwamba,endapo umetuma fedha kwa makosa na kwa bahati mbaya yule ambaye pesa zimeingia kwake akazitoa haraka (Kampuni) huweka mitambo yao katika hali ya alert ili Huyo mtu mara atakapoingiziwa pesa tu huziblock na kuzituma tena kule kwa mlalamikaji./ au aliye mispost ...
*huwa hawana fungu la kurifund zaidi ya kufanya hili.
***Sasa kama hela wameizuia na hawarudishi ilikotoka maana yake nini ?
Saa zingine hata 24 hours hazifiki unakua umepewa hela yako.....ila sio tigoWezi tu hao mbona Vodacom ukikosea ndani ya saa 24 unakuwa umerudishiwa fedha yako
Niliwahi kupata haya matatizo na huu mtandao na mawazo yangu kiukweli yalikua ni kama ya wengi waliochangia humu ila baada ya maelezo ya kina kutoka kwa mmoja wa mtu ndani niligundua yafuatayo....na kuanzia hapo nilipunguza kulalamika pindi napokosea kufanya muhamala kimakosa.
1.Sababu ya kuchelewa kurudisha pesa uliyotuma kimakosa,au kutoa kimakosa.
-kuna tabia kati yetu watanzania kupata huduma then ukamlipa mhusika kwa tigo pesa then mtu huyo huyo akaenda kupiga simu tigo kuomba zirudishwe,hapa tigo wakiamua kurudisha pesa bila kukoconfirm na receiver kampuni yao lazima iwajibike.
Eg:Mtu kalipa nauli(tax,bus) kwa tigo pesa then akishuka anapiga simu tigo kwamba alikosea,hapa tigo wakirudisha pesa bila kumchek receiver wanakua hawako sahihi.
-pia inatia mashaka kukosea kutuma hela kimakosa kwani process husika inatoa muda kuverifyy jina na number husika
2.Kuhusu kucheleweshewa pesa ili ziibwe na wafanyakazi wa tigo,hii pia sio kweli kabisa....katika taratibu za utumaji na upokeaji pesa kuna wahusika wawili tuu....mtumaji na mpokeaji(sender n receiver),endapo kuna kosa kati ya mmoja wao... Tigo wanachoweza kufanya ni either kurudisha kwa mtumaji au kuziacha kwa mpokeaji....there is no way ukai-divert pesa ya mteja into other number or channel,ndo maana unaona kuna kitu kinaitwa kumbukumbu namba....zile zinatumika kufunga na kurudisha mhumala husika uliokosewa.
NB:kwenye hizi huduma kuna changamoto ya mitandao kudelay na kuleta hasira kwa watumiaji lakini kubwa zaidi ni tabia yetu watumiaji kutokua waaminifu......hizi ni changamoto ambazo zinasababisha kwa kiasi kikubwa delays na baadae mis-interpretation ya huduma za mobile money
Pole mkuu ila utaratibu ni lazima ufuatwe. Wasingeweza kukuamini kwa kusema tu hivyo wakurudishie hela fastaHuu ni upuuzi sana, nilishawahi mtumia mtu fedha kwa bahati mbaya akaibiwa simu kabla ya kuitoa, na sehemu aliyokuwepo hakukuwa na huduma ya kurenew sim card, hivyo akaniambia niwapigie simu wairudishe ili nimtumie kwenye no nyingine..
Niliwapigia hao jamaa simu nikawaeleza lakini wakalazimisha hadi wawasiliane naye, mimi nikawaeleza hali halisi jinsi ilivyo but walisumbua sana na mtu mwenyewe alikuwa na shida sana na pia hata kiasi nlichotuma kilikuwa kikubwa kiasi,
Ikabidi yule mtu aende mjini na ilikuwa ni mbali akarenew tu ile line, but baada ya siku kama nne!
Hapa naona tu kuna ujanja ujanja wanafanya, ikitokea uliyemtumia hatopatikana hewani tena au umekosea kutuma kwenye no ambayo haipo ni maumivi, million 2 inaweza kuwa vapour hivi hivi...
Wote wamoja tena Voda pasua kichwa hasa nimedai pesa zangu mimi sina hamu nao. Na sasa wameanza wizi mwingine juzi nimeweka 5000 nijiunge internet ya wiki, wakasema pesa haitoshi kuulizia salio wakakata nikabakiwa na shs. 4,900 sent kidogo baadae nikaamua kuweka 5000 nyingine naletewa meseji nina 5800 badala ya 9000 kurudi nyumbani aambiwa hivyo hivyo yamemtokea na mwingine
Sio kweliVoda ndiyo wanaboa zaidi ukituma pesa transaction yao inaonyesha jina mwishoni kabisa baada ya kubonyeza 1
Hii inafanya watu wengi kutuma pesa kusikokusudiwa kimakosa,,
Tigo inakupa option ya kuhakiki jina la mtu unaye mtumia kabla ya kubonyeza 1.
Ila Naunga hoja hawa Customer service wanaboa kupita maelezo.
Mi nilishawahi kufatilia mwaka mzima kiasi chenyewe Tsh 50,000 tu baada ya kupata changu nilifanya jambo moja tu la busara nilivunja ile chip kwa amani sijawahi kuwaza tena kutumia Tigo tenamkuu unatakiwa uvute subira hasa mimi nilirudishiwa baada ya mwezi na wiki tatu nlifuatilia mpaka nkachoka kila ukiwauliza wanakwambia vuta subira
Mkuu ahsante kwa ushauri ila huwa nazima kabla sijaongeza salio hadi namaliza kujiunga ndio nawasha.uwe unazima data mkuu. Ni data tu hiyo kwa vyovyote
yani hilo sio tatizo kabisa, wanachotakiwa wao ni kumpigia simu muhusika. issue ni kwamba hawampigii simu muhusika.ishanitokea zaidi ya mara moja, wanasema tutampigia muhusika kabla ya kurudisha ela ila hawapigi, muda mwingine unamtumia mtu ela, unakuta kasahau password, hawezi kuitoa, hivyo unakuwa unajua mtu anayetakiwa kupigiwa simu, chakushangaza ukienda ofisini kwao watampigia ukiwepo na ela inarudishwa in few minutes, sasa ni wangapi wanaweza kwenda huko ofisini kwao?Niliwahi kupata haya matatizo na huu mtandao na mawazo yangu kiukweli yalikua ni kama ya wengi waliochangia humu ila baada ya maelezo ya kina kutoka kwa mmoja wa mtu ndani niligundua yafuatayo....na kuanzia hapo nilipunguza kulalamika pindi napokosea kufanya muhamala kimakosa.
1.Sababu ya kuchelewa kurudisha pesa uliyotuma kimakosa,au kutoa kimakosa.
-kuna tabia kati yetu watanzania kupata huduma then ukamlipa mhusika kwa tigo pesa then mtu huyo huyo akaenda kupiga simu tigo kuomba zirudishwe,hapa tigo wakiamua kurudisha pesa bila kukoconfirm na receiver kampuni yao lazima iwajibike.
Eg:Mtu kalipa nauli(tax,bus) kwa tigo pesa then akishuka anapiga simu tigo kwamba alikosea,hapa tigo wakirudisha pesa bila kumchek receiver wanakua hawako sahihi.
Tumia akili kidogo tu ndugu, ukituma ela kwenda mtandano mwingine hakuna verification ya jina hadi umemaliza tuma ela, pia muda mwingine inakubidi kurudishwa ela kutokana na sababu mbali mbali, moja kukosea namba, mbili uliyemtumia kusahau password, tatu uliyemtumia kuomba umtumie hiyo ela kwa namna tofauti as huko alipokuwepo hawezi toa hizo ela, n.k-pia inatia mashaka kukosea kutuma hela kimakosa kwani process husika inatoa muda kuverifyy jina na number husika
sasa uaminifu unaoutaka wewe ni upi labda?NB:kwenye hizi huduma kuna changamoto ya mitandao kudelay na kuleta hasira kwa watumiaji lakini kubwa zaidi ni tabia yetu watumiaji kutokua waaminifu......hizi ni changamoto ambazo zinasababisha kwa kiasi kikubwa delays na baadae mis-interpretation ya huduma za mobile money