Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Gud. Kwa mfano tawi lina wafanyakazi 15, ni ngumu sn mkaomba ruhusa watu 3, hta kma department tofauti, kwa muda mmoja na wote mkapewa. Why? Kwa sababu kazi za benki zinategemeana sn, yan kuna transaction zingine hazitapita kwa mfano customer service manager asipokuwepo. Na mkiwa department moja ndo kabisa hamuwezi kuondoka watatu. Kwa mfano tellers, madirisha ma3 bila mtu ni ngumu, loan officers wa3, haiwezekan mkaondoka wote, back office wa3, hapana. Pia, ni ngumu sn nyie wote wa3, mkawa mnauguliwa na mtoto, mkaomba ruhusa pamoja, mkawa mnakaa Tabata, na mkawa na biashara karibu na ATM. What a coincidence...!!!!Mkuu huyo jamaa hajajitoa muhanga Ila ametumia "a hat trick" Hata waki fuata nyayo watakutana Na matope.Kwa Mfano tawi la Tabata lina wafanya kazi wangapi? Pili anakibiashara karibu Na banki je Wafanyakazi Wa ngapi kwenye hiyo bank wanabiashara hapo Tabata? Tatu aliomba ruhusa kumhudumia mtoto wake je wangapi hapo bank waliomba ruhusa siku hiyo?
Haya NI maoni yangu
Kimbilia ahera mzee. Hufai kuishi duniani. Manake hata basi ukikimbilia upinzani mafisadi wamo watuhumiwa kibao. Akili mukichwa. Wahi aheraChama tawala shida(tuhuma za wabunge kuhongwa,n.k),watendaji serikalini shida,n.k sijui tukimbilie wapi!!!
kabla hujauliza unaijua tofauti ya uma na umma?Ivi unajua sifa ya taasisi kuitwa ya uma?
Hawafai kabisaHawa jamaa wanatupangisha foleni kumbe makusudi.
Huo ndio uozo unaolelewa na serikali ya CCM miaka na miakaHaya unayoyaongea mleta mada ndiyo yaliyofanya mashirika ya umma yote kufa tokea enzi za Nyerere. Ubinafsi.
Watumbuliwe tu.
Nnauhakika Rais au wasaidizi wake wamekusoma na TAKUKURU wanakusoma na mawaziri husika wanakusoma na hatua za haraka zitachukuliwa.
Uozo huo.
Naam, akina "Bernard" hao.Huo ndio uozo unaolelewa na serikali ya CCM miaka na miaka
Bible, Funguka. Benard ndio nani? au ni mmoja wa wafanyakazi wa NMB ili wakamdake?Naam, akina "Bernard" hao.
Pitia pitia nyuzi za JF utamuelewa tu.Bible, Funguka. Benard ndio nani? au ni mmoja wa wafanyakazi wa NMB ili wakamdake?
Kijana hili la Ben unafurahia? tutumie taarifa hizi kuanza upelelezi ikitokea 'makamanda' na wenzake wanahusika tuwasulubu tu hamna jinsi.Chama tawala shida(tuhuma za wabunge kuhongwa,n.k),watendaji serikalini shida,n.k sijui tukimbilie wapi!!!
Halafu naskia mishahara ya askari polisi na magereza huwa wanaichelewesha makusudi kwani hufanyiaga biashara kwanza halafu askar wanalipwa faida ni kweli?
Mimi kama mwana jamii forums na mteja wa beki ya NMB, naomba usisahau kuleta mrejesho hatua mtakazo zichukua ikiwa mtabaini wahusi wa tukio hili lililo ripotiwa na mzalendo. Na tunatarajia mtamlinda msiri huyu mzalendi alie leta taarifa hii.Ndugu wana Jamiiforums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya utendaji mliouona kuwa si wa kuridhisha hasa kwa maendeleo ya benki yenu pendwa, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko hayo na kama ikibainika kuna watu kwa makusudi wamefanya hayo, tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi yao na wafanyakazi wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wanajukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili mojawapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwahakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Endapo kutatokea umepata huduma isiyoridhisha au ufanyajikazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa Posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe “Siri”)
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom