Kashfa nyingine NSSF

Tanzania nizaidi yauijuavyo, wanaojifanya wanajua HAWAJUI ,wanaojua ukiwapa WANAHARIBU.
 
Wew no mjinga,sio vitu vya kutuandikia humu,wew kama unabifu na hao NSSF we kamalizane nao kwa namna unavyojua,kwani wangapi wamepeana ajira kienyeji lakini hatusemi
Ndo mwisho sasa,kwani wangapi walikula mshahara hewa na wanshughulikiwa,hapa ni kuwashughulikia wote wanaoajiri vi.laza
 
Degree Mbili Fake Halafu Haa
Sarakasi Hizi Siyo Ngeni
Mbona Nchimbi Alisafisha PhD Yake
 
NSSF....tunasubiri uchunguzi tujue mbivu na mbichi!! Waliochafuka watapelekwa kisutu wasafi watarudi kazini!
 
Yaani Mada yoyote inayohusu NSSF ikiletwa hapa ,Agenda inabadilika kuwa udini ,hivi hamna vingine vya kuchangia ?
 
Duh! Kweli lakini au fitina tu?
 
Yaani Mada yoyote inayohusu NSSF ikiletwa hapa ,Agenda inabdilika kuwa udini ,hivi hamna vingine vya kuchangia ?
Mi nashangaa ukizungumzia nssf tu udini unaanza kuzungumzwa. Jamani tuache mambo ya udini hayatupeleki popote zaidi ya kuchochea utengano
 
Mbona mkurugenzi ni mtu mkubwa sana kuajiri dereva na mfuta vumbi?
Anasingiziwa au ni mimi tu simjui
 
Aajiriwe darasa la saba!!!madai ya kitoto kabisa hayana kichwa wala miguu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…