ikinyunyi
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,065
- 932
Kwanini tusibadirishe katiba Huyu Raisi Magu aongoze miaka 50?
Samahani nilikuwa nafikiri nampa taarifa mtu mwenye uelewa, kumbe hata hujui Mh. Tundu Lissu anaongelea nini... endelea na umbumbumbu, CCM imewaharibu akili, kwaheri.
Kwa uzalendo upi? Kwakukamata mapanki huku minofu ikienda?Katika hili JPM anaingia kwenye orodha viongozi wazalendo wa kweli wa nchi hii! Kwenye orodha ya viongozi wazalendo wa kweli wa kwanza ni Mwalimu Nyerere wa pili ni Sokoine wa tatu ni JPM! Sikumbuki kama kuna wa NNE! Karibuni tukumbushane kama kuna wengine!