Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.
Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
- Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
- Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
- Richard Kasesera
- Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
- Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
- Ongezea orodha
Hao wote na wengi wa north pole ni wana mtandao.Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.
Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
- Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
- Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
- Richard Kasesera
- Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
- Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
- Ongezea orodha
7:Marais wote waliopitaKama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.
Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
- Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
- Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
- Richard Kasesera
- Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
- Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
- Ongezea orodha
Mkuu wa north pole kivip mkuu haujaelewekaHao wote na wengi wa north pole ni wana mtandao.
Zitto ajitafakari km kweli neno uzalendo analotumia anamaanisha kweli.
G MallisaKama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.
Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
- Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
- Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
- Richard Kasesera
- Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
- Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
- Ongezea orodha
Mkuu hapo sasa pabaya unataka kumchezea paka sharubu. Kwani huyu aliyepo kwenye usukani hakuwepo kwenye hilo baraza la mawaziri.Mkapa na mawaziri wote waliopitisha hiyo mikataba wakiwa kwenye baraza la mawaziri.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.
Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
- Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
- Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
- Richard Kasesera
- Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
- Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
- Ongezea orodha
Kuwepo kwenye baraza hakuzui mambo mengine kupita ukiwa unaona!! Hata lowasa anasemaga eti kwenye Richmond yupo which means maybe ni JK kana kwamba yeye hakuwa waziri Mkuu!!Mkuu hapo sasa pabaya unataka kumchezea paka sharubu. Kwani huyu aliyepo kwenye usukani hakuwepo kwenye hilo baraza la mawaziri.