Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,393
Karibu magari yote yanayonunuliwa na watu binafsi Tanzania ni used. Hata mimi nanunua magari used. Tangu lini ikawa ufisadi kununua gari used?
Ufisadi ungekuwepo kama kuna rushwa imetumika, lakini kununua magari used per se ni umasikini tu, sio ufisadi.
Ufisadi ungekuwepo kama kuna rushwa imetumika, lakini kununua magari used per se ni umasikini tu, sio ufisadi.