Kashfa kubwa ya ufisadi yaitafuna CHADEMA

Sababu ya kuzuia ununuzi wa vitu chakavu serikalini ni kukosekana kwa vigezo madhubuti vya kupata hivyo vitu mitumba kwani watendaji wengeweza kununua mtumba wa shilingi hamsini na kuupandisha thamani hadi laki mbili jambo ambalo ni vigumu kuli-audit.lakini bidhaa ikiwa mpya thamini yake itajulikana kirahisi.
Kwa chadema kununua used sioni kama ni tatizo hasa kwa miaka hii mabapo hata used vehicles are in good conditions. na especially kama wasimamizi ni watu makini hakuna tatizo.
Kuna mifano ya taasisi kadhaa waliokwishafanya manunuzi ya aina hiyo. kwa mfano CWT wamenunua magari ya ofisi zao nchi nzima yakiwa used na yana hali nzuri!!
 
habari ya kikuda hii. haina source wala sink.


kishindo kwa kisumuma ni matusi. sitaki kumtukana rais wenu.

SOURCE: Mwananchi Mar 2011. najua hizo habari zinakupa ukakasi wa ajabu vumilia Ntemi wa Ntuzu inauma
 
hii inanikumbusha kipindi cha uchaguzi. kulikuwa na link ya kupiga kura kwa wagombea urais. baada ya gazeti moja la kila wiki kutangaza kuwa 'wanamtandao wampa 76% dr. slaa, liliibuka kundi la watu wakawa wanapiga kura za maruhani kutaka kumpandisha chati mchakachuaji, lakini hatimaye walishindwa na kampeni zao chafu. now they are comming again baada ya kujivua gamba.

we are ready. well equiped.

karibuni sana.

Hakuna hoja hapa zaidi ya U-kamanda (Askari Mgambo/jiji)
 
Sababu ya kuzuia ununuzi wa vitu chakavu serikalini ni kukosekana kwa vigezo madhubuti vya kupata hivyo vitu mitumba kwani watendaji wengeweza kununua mtumba wa shilingi hamsini na kuupandisha thamani hadi laki mbili jambo ambalo ni vigumu kuli-audit.lakini bidhaa ikiwa mpya thamini yake itajulikana kirahisi.
Kwa chadema kununua used sioni kama ni tatizo hasa kwa miaka hii mabapo hata used vehicles are in good conditions. na especially kama wasimamizi ni watu makini hakuna tatizo.
Kuna mifano ya taasisi kadhaa waliokwishafanya manunuzi ya aina hiyo. kwa mfano CWT wamenunua magari ya ofisi zao nchi nzima yakiwa used na yana hali nzuri!!

Kama kweli unachosema ulikuwa wapi kuwashahuri kina Dk Slaa na Lissu kuhusu kupinga kununua mitambo chakavu ya DOWANS
 
Sasa hivi Chadema wanafuatiliwa kwa karibu Kama vile Marekani inavyoifuatilia Alquida.pana ukweli gani juu ya hili kwa mtoa mada!?,atuthibitishie sivyo atakuwa katumwa na Msekwa
 
Hawa jamaa hawajapokea rushwa, hawajanunua chochote kwa bei ya kuiba ila walikuwa wamependekeza kununua magari ya mtumba ambayo kwa nchi yetu ndiyo mengi kuliko yaliyonunuliwa yakiwa mapya, yawezekana kwa jamaa wa GAMBA huo ni ufisadi maana wao huwa wananunua mapya kwa peza zetu bila ridhaa yetu sasa wanajamvi mimi naomba tuelimishwe hapa UFISADI hasa ni upi. Kuliibia taifa na kuzitumia fedha hizo kujinufaisha au kununua mtumba kwa bei halali ili angalau upate badala ya mbili upate nne au zaidi
 
Tatizo sio ufisada hapo, tatizo ni kutaka kununua vitu vilivyotumika, ndio ilikuwa hoja ya msingi, wamejadiliana wamefika tamati. Ufisadi ungetokea endapo wangesema wamenunua vitu vipya wakati sio. Upande wa serikali, sheria inatamka bayana kuwa serikali haitakiwi kununua vitu used, endapo itatokea imenunua vitu used huo utakuwa ni uvunjivu wa sheria ya manunuzi ya serikali. Rejea, "procument act" .


Inamaana hiyo CC ya CDM haijui kilichomo ndani ya Public Procurement Act 2004? kama sivyo kwanini hili suala lilete mjadala mrefu wa kutaka kutoana macho?.Hawa (Slaa) ndio walioshiriki kupinga sheria isibadilishwe kuruhusu Serikali kununua Used Equipments/Machines sasa leo "vya chakavu" vimekuwa "deal".

Hii ni malice aforethought to ufisadi Mzee.
 
Hali si swari ndani ya Chadema, baada kubainika baadhi ya viongozi wa juu wa cha hicho kufanya maamuzi ya ununuzi wa magari chakavu 'mitumba' yenye thamani ya sh 480 milioni. bila kuwashirikisha viongozi wengine wa Chadema, wakiongea kwa masikitiko makubwa Profesa Mwasiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kwa kununua magari chakavu 'mitumba' wakati wao wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo. itakuwa vizuri hili swala Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, pamoja na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe, walitolee ufafanuzi zaidi

Yaani Chama Cha Magamba (CCM) mlivyoahidi kwamba mtatumia media jamii ili kupambana na CDM ndio style yenyewe hii? Hivi mmejiuliza kama bei ya magari inaendana na thamani ya magari husika, hata kama ni chakavu? Kama jibu ni ndiyo ufisadi uko wapi hapa? Kwani Sheria ya Manunuzi, 2004 inahusu taasisi zisizo za kiserikali? Yaani mmevua magamba ndio mmekuwa bogus zaidi, afadhali mngebaki nayo!
 
Hali si swari ndani ya Chadema, baada kubainika baadhi ya viongozi wa juu wa cha hicho kufanya maamuzi ya ununuzi wa magari chakavu 'mitumba' yenye thamani ya sh 480 milioni. bila kuwashirikisha viongozi wengine wa Chadema, wakiongea kwa masikitiko makubwa Profesa Mwasiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kwa kununua magari chakavu 'mitumba' wakati wao wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo. itakuwa vizuri hili swala Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, pamoja na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe, walitolee ufafanuzi zaidi

Ninamashaka na uwezo wako wa kuoanisha kati ya topic uliyoandika na kilichomo so wakati mwingine usikurupuke yaani umeshindwa kutofautisha 'Kufanya maamuzi' na 'Kununua' so huo ufisadi unatoka wapi?
 
Yaani Chama Cha Magamba (CCM) mlivyoahidi kwamba mtatumia media jamii ili kupambana na CDM ndio style yenyewe hii? Hivi mmejiuliza kama bei ya magari inaendana na thamani ya magari husika, hata kama ni chakavu? Kama jibu ni ndiyo ufisadi uko wapi hapa? Kwani Sheria ya Manunuzi, 2004 inahusu taasisi zisizo za kiserikali? Yaani mmevua magamba ndio mmekuwa bogus zaidi, afadhali mngebaki nayo!


Yaani wewe ndio mbumbumbu kabisa a.ka juha.Elewa si "Government" Procurement Act ila ni "Public"au kwa lugha rahisi ni "community.Unataka kutuambia hizo fedha zimetokana na shamba la korosho la CDM?Tambua ni fedha za walipa kodi(PUBLIC) zinazotolewa kupitia Serikali kama Ruzuku kwa chama chako cha Kibeberu/kibwanyenye.Hayo magari mnayotaka kununua ni kwa ajili ya kupeleka watoto wenu shule ama wake zenu sokoni?Kama ni kwa ajili ya kufikisha siasa/sera zenu kwa wananchi/jamii, utambue ni for the public interest.

Kwa kuwa nifedha za walipa kodi,ndio maana mnasisitizwa kukaguliwa na CAG ili tujue ni ngapi mmekwisha pupuna tuwaadabishe a.k.a kuwavua magamba nanyi pia.
 
Hawa jamaa hawajapokea rushwa, hawajanunua chochote kwa bei ya kuiba ila walikuwa wamependekeza kununua magari ya mtumba ambayo kwa nchi yetu ndiyo mengi kuliko yaliyonunuliwa yakiwa mapya, yawezekana kwa jamaa wa GAMBA huo ni ufisadi maana wao huwa wananunua mapya kwa peza zetu bila ridhaa yetu sasa wanajamvi mimi naomba tuelimishwe hapa UFISADI hasa ni upi. Kuliibia taifa na kuzitumia fedha hizo kujinufaisha au kununua mtumba kwa bei halali ili angalau upate badala ya mbili upate nne au zaidi

Hayo maneno ya uhongo unayosema ili kutetea ufisidi uliyofanyika ni hatari sana. labda nikusaidie ndungu hayo magari mitumba yameishanunuliwa baadhi ya viongozi wa juu Chadema ndio wameamua. ndio maana kina Dk Kitila Mkumbo na Profesa Baregu wamesema sio vizuri Chadema walichofanya kununua magari chakavu 'mitumba'
 
Yaani Chama Cha Magamba (CCM) mlivyoahidi kwamba mtatumia media jamii ili kupambana na CDM ndio style yenyewe hii? Hivi mmejiuliza kama bei ya magari inaendana na thamani ya magari husika, hata kama ni chakavu? Kama jibu ni ndiyo ufisadi uko wapi hapa? Kwani Sheria ya Manunuzi, 2004 inahusu taasisi zisizo za kiserikali? Yaani mmevua magamba ndio mmekuwa bogus zaidi, afadhali mngebaki nayo!

Mkuu hayo sio maneno ya CCM, CUF, UDP, TLP, hayo maneno ya kupinga Chadema kununua magari chakavu 'mitumba' kwa thamani ya sh 480 milioni, kutoka India yamesemwa na watu wanaheshimwa sana ndani ya Chadema, Dk Kitila Mkumbo na Profesa Baregu kwa habari zaidi pitia Gazeti la Mwananchi la tarehe 2 May 2011
 
wewe ndio umeamka nini fuatilia wenzako wameshamaliza kuijadili hoja yako hii.


acha utoto akuna kachfa ya ufisadi inayoisha achen kuwapaka matope wakina lowassa kumbe wezi wakubwa huu upuuzi lazima kieleweke na nipe miezi mitatu utapata jibu
shibuda kazi kwako mpwa
 
Hali si swari ndani ya Chadema, baada kubainika baadhi ya viongozi wa juu wa cha hicho kufanya maamuzi ya ununuzi wa magari chakavu 'mitumba' yenye thamani ya sh 480 milioni. bila kuwashirikisha viongozi wengine wa Chadema, wakiongea kwa masikitiko makubwa Profesa Mwasiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kwa kununua magari chakavu 'mitumba' wakati wao wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo. itakuwa vizuri hili swala Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, pamoja na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe, walitolee ufafanuzi zaidi

Tumeustukia mchezo, kumbe wanalamika tu majukwaani. Hwajaongoza hata mkoa ufisadi ni huu. Je, wakipewa nchi itakuwaje?
 
Ninanukuu baadhi ya sehemu kutoka kwenye gazeti la Mwananchi la leo Jtatu, 02/05/11 lenye kichwa cha habari "Moto wawaka Chadema, NI VITA YA KAMBI ZA MBOWE, ZITTO"

" VITA vya makundi vimezidi kuviandama vyama vikubwa vya siasa nchini, ambapo sasa hali si shwari ndani Chadema, ambako kunadaiwa kuwepo mkakati wa kumng'oa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe. Hali hiyo ilijitokeza katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichoketi juzi Jumamosi chini ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, kikao ambacho pia kilimg’oa John Shibuda katika nafasi ya kukaimu uenyekiti mkoa wa Shinyanga.Shibuda ambaye ni mbunge wa Maswa Magharibi ameondolewa baada ya kukalia nafasi hiyo takriban kwa siku nne tu tangu ateuliwe, kufuatia kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoani Shinyanga Philip Shelembi ambaye alizikwa April 27, 2011. .....mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, ndiye alianzisha mvutano wa kutaka Zitto ang'olewe kutokana na kupinga wazo la kununua magari chakavu kutoka India.....mashambulizi dhidi ya Zitto yalianza pale alipounga mkono hoja ya Profesa Mwesiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema kwamba, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kufanya ufisadi kwa kununua magari chakavu wakati wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo."
Mwisho wa kunukuu.

Hoja yangu:
Cdm ni chama kikuu cha upinzani kinachofikiriwa na Watanzania wengi nikiwepo mimi binafsi kuwa kinaweza kikachukua nafasi ya CCM katika kuliongoza Taifa letu. Tunapozungumzia masuala ya Cdm twapaswa kuwa wakweli na wawazi juu ya Strength & Weakness za Cdm juu ya Mustakabali wa Taifa ili walio na dhamana ya chama hicho waweze kujua na kuelewa strength/weakness walizonaza ili waweze kuzifanyia kazi in a positive manner. Tusijadili mambo haya muhimu ya Kitaifa Kiubinafsi na Kiushabiki zaidi, haita tusadia hata kidogo. Penye mazuri tuseme kwa sauti moja kuwa hiki ni kizuri na halikadhalika penya ubovu pia tutumie sauti hiyohiyo. Kumbuka kuwa sisi ni baadhi ya watu wachache waliobahatika kupata elimu na kuwa na upeo wa kuweza kuona mambo, yatupasa tukumbuke kuwa kuna wengi wapo nyuma yetu hawana upeo huo kwahiyo inapokuja suala la Mstakabali wa Kitaifa tuondoe ukabila, udini, ukanda, uchama na aina yeyote ile ya ubaguzi. Ni kwakufanya hivyo tu tutaweza kulijenga Taifa lililo imara na lenye nguvu ambapo hata vizazi vijavyo vitatukumbuka kama tunavyomkumbuka Mwalimu leo hii.

Ukisoma maelezo ya gazetini na kuyatafakari kwa makini utaona kuwa makundi yanayozungumziwa ni kati ya Watu wa Kaskazini na ambako ndiko kwenye uhasisi wa Cdm na Watu wanaotoka Maeneo mengine ya TZ kwa pamoja. Lema kumtetea Mbowe, na Zitto kuunga mkono hoja ya Prof Baregu, utaona tu nini kinaendelea. Pia ukiiangalia historia ya kufukuzwa kwa mtu muhimu kama Kafurira anayetoka Kigoma na sasa na Shibuda kutolewa madarakani ambaye hatoki Kaskazini. Sina maana kwamba mtu anayetoka nje ya kaskazini asiadhibiwe kwakuwa kufanya hivyo kutaonesha ubaguzi la, ila mazingira yake yanaweza yakawafanya watu wa infer ubaguzi.

Sasa hususan kwa watu mlio nyumbani ambao mnaueleo mkubwa juu ya mambo haya kutokana na na kuaccess habari kutoka kwenye vyanzo vingi, mnalionaje ili suala la Cdm kuhusiswa na Ukanda, je mtu akisema kuwa Cdm ina element za Ukaskazini atakuwa yuko sahihi kwa ku infer events zinazotokea kama hapo juu? Mimi si mwanachama wa chama chochote kile lakini naguswa na masuala ya Kitaifa, nataka hasa Wanachadema mnipatie critical analysis ya Cdm kuhusishwa na Ukaskazini ili sisi wananchi wapenda positive changes and develepomnt tusiwe na hofu ya kuwakabidhi dola muda muafaka utakapowadia.

MASLAHI YA TAIFA KWANZA SI VYAMA WALA UBINAFSI.
 
Ninanukuu baadhi ya sehemu kutoka kwenye gazeti la Mwananchi la leo Jtatu, 02/05/11 lenye kichwa cha habari "Moto wawaka Chadema, NI VITA YA KAMBI ZA MBOWE, ZITTO"

" VITA vya makundi vimezidi kuviandama vyama vikubwa vya siasa nchini, ambapo sasa hali si shwari ndani Chadema, ambako kunadaiwa kuwepo mkakati wa kumng'oa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe. Hali hiyo ilijitokeza katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichoketi juzi Jumamosi chini ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, kikao ambacho pia kilimg'oa John Shibuda katika nafasi ya kukaimu uenyekiti mkoa wa Shinyanga.Shibuda ambaye ni mbunge wa Maswa Magharibi ameondolewa baada ya kukalia nafasi hiyo takriban kwa siku nne tu tangu ateuliwe, kufuatia kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoani Shinyanga Philip Shelembi ambaye alizikwa April 27, 2011. .....mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, ndiye alianzisha mvutano wa kutaka Zitto ang'olewe kutokana na kupinga wazo la kununua magari chakavu kutoka India.....mashambulizi dhidi ya Zitto yalianza pale alipounga mkono hoja ya Profesa Mwesiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema kwamba, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kufanya ufisadi kwa kununua magari chakavu wakati wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo."
Mwisho wa kunukuu.

Hoja yangu:
Cdm ni chama kikuu cha upinzani kinachofikiriwa na Watanzania wengi nikiwepo mimi binafsi kuwa kinaweza kikachukua nafasi ya CCM katika kuliongoza Taifa letu. Tunapozungumzia masuala ya Cdm twapaswa kuwa wakweli na wawazi juu ya Strength & Weakness za Cdm juu ya Mustakabali wa Taifa ili walio na dhamana ya chama hicho waweze kujua na kuelewa strength/weakness walizonaza ili waweze kuzifanyia kazi in a positive manner. Tusijadili mambo haya muhimu ya Kitaifa Kiubinafsi na Kiushabiki zaidi, haita tusadia hata kidogo. Penye mazuri tuseme kwa sauti moja kuwa hiki ni kizuri na halikadhalika penya ubovu pia tutumie sauti hiyohiyo. Kumbuka kuwa sisi ni baadhi ya watu wachache waliobahatika kupata elimu na kuwa na upeo wa kuweza kuona mambo, yatupasa tukumbuke kuwa kuna wengi wapo nyuma yetu hawana upeo huo kwahiyo inapokuja suala la Mstakabali wa Kitaifa tuondoe ukabila, udini, ukanda, uchama na aina yeyote ile ya ubaguzi. Ni kwakufanya hivyo tu tutaweza kulijenga Taifa lililo imara na lenye nguvu ambapo hata vizazi vijavyo vitatukumbuka kama tunavyomkumbuka Mwalimu leo hii.

Ukisoma maelezo ya gazetini na kuyatafakari kwa makini utaona kuwa makundi yanayozungumziwa ni kati ya Watu wa Kaskazini na ambako ndiko kwenye uhasisi wa Cdm na Watu wanaotoka Maeneo mengine ya TZ kwa pamoja. Lema kumtetea Mbowe, na Zitto kuunga mkono hoja ya Prof Baregu, utaona tu nini kinaendelea. Pia ukiiangalia historia ya kufukuzwa kwa mtu muhimu kama Kafurira anayetoka Kigoma na sasa na Shibuda kutolewa madarakani ambaye hatoki Kaskazini. Sina maana kwamba mtu anayetoka nje ya kaskazini asiadhibiwe kwakuwa kufanya hivyo kutaonesha ubaguzi la, ila mazingira yake yanaweza yakawafanya watu wa infer ubaguzi.

Sasa hususan kwa watu mlio nyumbani ambao mnaueleo mkubwa juu ya mambo haya kutokana na na kuaccess habari kutoka kwenye vyanzo vingi, mnalionaje ili suala la Cdm kuhusiswa na Ukanda, je mtu akisema kuwa Cdm ina element za Ukaskazini atakuwa yuko sahihi kwa ku infer events zinazotokea kama hapo juu? Mimi si mwanachama wa chama chochote kile lakini naguswa na masuala ya Kitaifa, nataka hasa Wanachadema mnipatie critical analysis ya Cdm kuhusishwa na Ukaskazini ili sisi wananchi wapenda positive changes and develepomnt tusiwe na hofu ya kuwakabidhi dola muda muafaka utakapowadia.

MASLAHI YA TAIFA KWANZA SI VYAMA WALA UBINAFSI.

Hapo kwenye Red: unachokisema ni sahihi lakini kwa mantiki ya kwamba ukanda, udini nk. unaozungumzwa kuhusu Chadema ni kitu kinachojengwa lakini mpaka sasa kimeshindwa kumalizika. CDM ni Chama cha Demokrasia hayo yanayozungumzwa )ndani ya vikao na nje ya vikao vya Chadema) na tafsiri yake ni vitu viwili tofauti. Kabla ya kuamini hoja lazima ungalie kasema nani na ana ukweli wake ni kiasi gani.
 
Yaani Chama Cha Magamba (CCM) mlivyoahidi kwamba mtatumia media jamii ili kupambana na CDM ndio style yenyewe hii? Hivi mmejiuliza kama bei ya magari inaendana na thamani ya magari husika, hata kama ni chakavu? Kama jibu ni ndiyo ufisadi uko wapi hapa? Kwani Sheria ya Manunuzi, 2004 inahusu taasisi zisizo za kiserikali? Yaani mmevua magamba ndio mmekuwa bogus zaidi, afadhali mngebaki nayo!

vilaza watupu wamejaa huko, tujitahidi kuwaelimisha kwani mtu mzima anachapwa kwa maneno.
 
Hapo kwenye Red: unachokisema ni sahihi lakini kwa mantiki ya kwamba ukanda, udini nk. unaozungumzwa kuhusu Chadema ni kitu kinachojengwa lakini mpaka sasa kimeshindwa kumalizika. CDM ni Chama cha Demokrasia hayo yanayozungumzwa )ndani ya vikao na nje ya vikao vya Chadema) na tafsiri yake ni vitu viwili tofauti. Kabla ya kuamini hoja lazima ungalie kasema nani na ana ukweli wake ni kiasi gani.

Hoja yangu ya msingi ambayo ninahitaji tuijadili critacally ni hili suala la Cdm na Ukanda je kweli lipo? Aina mbalimbali za ubaguzi nilizozitaja hapo juu ilikuwayo siihusishi wala sijawahi kuisikia mi mimi binafsi. Wwakati tunapochoshwa na utawala wa sasa yatupasa kuwa makini kutafuta atakayejaza nafasi hiyo pasipo na majuto baadae, na hili kumpata huyo mrithi ni budi tumjadili critically nje ndani. asante sana
 
Back
Top Bottom