Kasesela na Chalamila walifanya maamuzi sahihi. Je, wametishiwa hadi kutengua maamuzi yao?

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
DC wa Iringa Richard Kasesela alitoa tahadhari juu ya watu wanaotoka Dar kuwa watengwe maana Dar ndio kitovu cha ugonjwa

Kasesela alifanya uamuzi sahihi kabisa na ambao ulitakiwa umeshafanywa muda mrefu kabla tena nchi nzima ila yeye akajiongeza tu wilaya anayoongoza

Lakini cha ajabu ndani ya saa 12 alitengua uamuzi wake na kudai alinukuliwa vibaya

Kama kupiga lockdown ni too extreme, the least tungeweza kufanya ni ku contain huu ugonjwa Dar na Zanzibar

Vingefika na kutoka na mizigo tu ya vitu muhimu, hii ni common sense ya kawaida kabisa

Rc Wa Mbeya Albert Chalamila alipiga marufuku baa kufunguliwa kuanzia J3, najua hatuwezi kuzuia mikusanyiko yote ila katika kipindi hiki ile mikusanyiko isiyo ya lazima kama ya kumbi za starehe tungeweza kuisimamisha

Lakini cha ajabu ndani ya masaa 24 akabadili uamuzi wake, kwa personality yake, sio mtu wa kufanya uamuzi na kuutengua mapema vile hasa kwa jambo ambalo wengi wanaamini ni sahihi

Kwa inavyoonekana hawa viongozi wa chini wapo willing kupigana na corona seriously ila kuna mtu juu yao anaona sio kwa sababu zake, na kuwalaximisha kila mara kufuta maamuzi hayo, je ni nani huyu?
 
Najiuliza huyo mtu aliye juu ni nani m**nge huyo..!??
Ana mpango gani hasa na watanzania!??

Watu wakianza kufa atafaidika nini!?

Nina maswali mengi yasiyo na majibu.
 
Tunapitia majaribu makubwa sana Mungu atusaidie. Sielewi nn kinachoshindikana kuokoa Taifa hili na huyu adui corona. Kuomba tunaomba sana ila tahadhari ni ya muhimu sana.

Mikoa ifanyiwe lockdown ambayo maambukizi yanaonekana kuwa hatarishi. Ni rahisi sana kuhudumia sehemu ndogo ya nchi kuliko nchi nzima.

DAR, ZANZIBAR, KILIMANJARO, ARUSHA, KAGERA NA MWANZA zingepigwa lockdown. Ikiwezekana mikoa yote ifungwe hamna kutoka wala kuingia

Mipika ya nchi ifungwe pia.

Vitu vya muhimu kama chakula, madawa , fuels na baadhi ya mizigo ya muhimu ndo viruhusiwe tu kupita kwenda mkoa kwa mkoa.

Mipaka ya nchi watu wasiruhusiwe kuingia wala kutoka tofauti na mizigo ya muhimu tu.

Mikakati na maombi Mungu atatupigania tu.
 
Kuna wasiwasi wako watu wanaonufaika kuenea kwa hii corona ndo maana hakuna juhudi za dhati za kupambana na hili gonjwa hasa wenye mamlaka ya kupambana nalo...

Wachochee moto na waongeze kuni moto ukolee mwisho wa siku tutaisha wote na gonjwa lishaanza kupiga hodi huko mlima wa moto ..hakuna atakayekuwa salama hiki kipindi hata waliojificha chato
 
Tunapitia majaribu makubwa sana Mungu atusaidie. Sielewi nn kinachoshindikana kuokoa Taifa hili na huyu adui corona. Kuomba tunaomba sana ila tahadhari ni ya muhimu sana.

Mikoa ifanyiwe lockdown ambayo maambukizi yanaonekana kuwa hatarishi. Ni rahisi sana kuhudumia sehemu ndogo ya nchi kuliko nchi nzima.

DAR, ZANZIBAR, KILIMANJARO, ARUSHA, KAGERA NA MWANZA zingepigwa lockdown. Ikiwezekana mikoa yote ifungwe hamna kutoka wala kuingia

Mipika ya nchi ifungwe pia.

Vitu vya muhimu kama chakula, madawa , fuels na baadhi ya mizigo ya muhimu ndo viruhusiwe tu kupita kwenda mkoa kwa mkoa.

Mipaka ya nchi watu wasiruhusiwe kuingia wala kutoka tofauti na mizigo ya muhimu tu.

Mikakati na maombi Mungu atatupigania tu.
Kuomba mtaomba lkn bila kumtupa "Yona" baharini dhoruba itaendelea. Nadhani umenielewa hapo kwa Yona, sindiyoo-enhee.
 
Kuna wasiwasi wako watu wanaonufaika kuenea kwa hii corona ndo maana hakuna juhudi za dhati za kupambana na hili gonjwa hasa wenye mamlaka ya kupambana nalo...

Wachochee moto na waongeze kuni moto ukolee mwisho wa siku tutaisha wote na gonjwa lishaanza kupiga hodi huko mlima wa moto ..hakuna atakayekuwa salama hiki kipindi hata waliojificha chato
Mtu änaweza kufaidka na huu ugonjwa?
 
The country is run by the interconnected intelligence system!

If you make decisions without consulting your bosses, expect them to halt whatever is being carried out under your directions!

So yes, they were stupid because the intelligence said otherwise!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DC wa Iringa Richard Kasesela alitoa tahadhari juu ya watu wanaotoka Dar kuwa watengwe maana Dar ndio kitovu cha ugonjwa

Kasesela alifanya uamuzi sahihi kabisa na ambao ulitakiwa umeshafanywa muda mrefu kabla tena nchi nzima ila yeye akajiongeza tu wilaya anayoongoza

Lakini cha ajabu ndani ya saa 12 alitengua uamuzi wake na kudai alinukuliwa vibaya

Kama kupiga lockdown ni too extreme, the least tungeweza kufanya ni ku contain huu ugonjwa Dar na Zanzibar

Vingefika na kutoka na mizigo tu ya vitu muhimu, hii ni common sense ya kawaida kabisa

Rc Wa Mbeya Albert Chalamila alipiga marufuku baa kufunguliwa kuanzia J3, najua hatuwezi kuzuia mikusanyiko yote ila katika kipindi hiki ile mikusanyiko isiyo ya lazima kama ya kumbi za starehe tungeweza kuisimamisha

Lakini cha ajabu ndani ya masaa 24 akabadili uamuzi wake, kwa personality yake, sio mtu wa kufanya uamuzi na kuutengua mapema vile hasa kwa jambo ambalo wengi wanaamini ni sahihi

Kwa inavyoonekana hawa viongozi wa chini wapo willing kupigana na corona seriously ila kuna mtu juu yao anaona sio kwa sababu zake, na kuwalaximisha kila mara kufuta maamuzi hayo, je ni nani huyu?
Nani amewatisha, Bashite au nani ?

Seek respect, not attention. It lasts longer
 
DC wa Iringa Richard Kasesela alitoa tahadhari juu ya watu wanaotoka Dar kuwa watengwe maana Dar ndio kitovu cha ugonjwa

Kasesela alifanya uamuzi sahihi kabisa na ambao ulitakiwa umeshafanywa muda mrefu kabla tena nchi nzima ila yeye akajiongeza tu wilaya anayoongoza

Lakini cha ajabu ndani ya saa 12 alitengua uamuzi wake na kudai alinukuliwa vibaya

Kama kupiga lockdown ni too extreme, the least tungeweza kufanya ni ku contain huu ugonjwa Dar na Zanzibar

Vingefika na kutoka na mizigo tu ya vitu muhimu, hii ni common sense ya kawaida kabisa

Rc Wa Mbeya Albert Chalamila alipiga marufuku baa kufunguliwa kuanzia J3, najua hatuwezi kuzuia mikusanyiko yote ila katika kipindi hiki ile mikusanyiko isiyo ya lazima kama ya kumbi za starehe tungeweza kuisimamisha

Lakini cha ajabu ndani ya masaa 24 akabadili uamuzi wake, kwa personality yake, sio mtu wa kufanya uamuzi na kuutengua mapema vile hasa kwa jambo ambalo wengi wanaamini ni sahihi

Kwa inavyoonekana hawa viongozi wa chini wapo willing kupigana na corona seriously ila kuna mtu juu yao anaona sio kwa sababu zake, na kuwalaximisha kila mara kufuta maamuzi hayo, je ni nani huyu?
Usiwaaamini CCM kamwe
 
DC wa Iringa Richard Kasesela alitoa tahadhari juu ya watu wanaotoka Dar kuwa watengwe maana Dar ndio kitovu cha ugonjwa

Kasesela alifanya uamuzi sahihi kabisa na ambao ulitakiwa umeshafanywa muda mrefu kabla tena nchi nzima ila yeye akajiongeza tu wilaya anayoongoza

Lakini cha ajabu ndani ya saa 12 alitengua uamuzi wake na kudai alinukuliwa vibaya

Kama kupiga lockdown ni too extreme, the least tungeweza kufanya ni ku contain huu ugonjwa Dar na Zanzibar

Vingefika na kutoka na mizigo tu ya vitu muhimu, hii ni common sense ya kawaida kabisa

Rc Wa Mbeya Albert Chalamila alipiga marufuku baa kufunguliwa kuanzia J3, najua hatuwezi kuzuia mikusanyiko yote ila katika kipindi hiki ile mikusanyiko isiyo ya lazima kama ya kumbi za starehe tungeweza kuisimamisha

Lakini cha ajabu ndani ya masaa 24 akabadili uamuzi wake, kwa personality yake, sio mtu wa kufanya uamuzi na kuutengua mapema vile hasa kwa jambo ambalo wengi wanaamini ni sahihi

Kwa inavyoonekana hawa viongozi wa chini wapo willing kupigana na corona seriously ila kuna mtu juu yao anaona sio kwa sababu zake, na kuwalaximisha kila mara kufuta maamuzi hayo, je ni nani huyu?
Uamuzi wa Chalamila haukuwa sahihi, na wa kibabe. Kutumia neno 'walevi' ulikuwa utovu wa nidhamu. Bar watu hawaendi wakati mmoja Kama wapo maandamano, hoja ya kwamba saa 3 watakuwa hawajitambui ni hoja mfu. Japo tupo kwenye tatizo la corona, huwezi litatua kwa kuvunja Sheria. Bar zinaendeshwa kwa sheria ya vileo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan km kule Pemba kisiwa akikua na kesi adi Jana ndo kes2 tena wameingia tokea kisiwa cha Zanzibar. Km usafir wa abiria ungesitishwa c wapemba wangebaki Salama?
 
Uamuzi wa Chalamila haukuwa sahihi, na wa kibabe. Kutumia neno 'walevi' ulikuwa utovu wa nidhamu. Bar watu hawaendi wakati mmoja Kama wapo maandamano, hoja ya kwamba saa 3 watakuwa hawajitambui ni hoja mfu. Japo tupo kwenye tatizo la corona, huwezi litatua kwa kuvunja Sheria. Bar zinaendeshwa kwa sheria ya vileo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, maybe hakuwa sahihi, je vip kuhusu la biria wanäotoka Dar
 
Bashar al Assad kipind cha nyuma alkua nafany uchaguzi lkn baada ya vita kuingia akasitisha kila kitu juhudi zikaelekezwa kwenye vita mambo ya uchaguzi yakasahauliwa.
 
Kabla ya kutoa hayo matamko yao kwanini wasimwambie kwanza JIWE awape GoAhead kwanzA?
 
Back
Top Bottom