Women hate each other, ili kubalance their gaps wanaume wengi wanaojituma na wanaojua kutengeneza pesa nyingi wanaoa lazy woman or house wives, that's why ni ngumu sana mwanamke kusema atamzidi shost wake hali za kimaisha sababu hata ajitume vipi shost anaweza akaolewa na jembe na akadrive benz kama kawa,,,
Wanaume wenye pesa hawapend shida za kuoa au kutongoza wadada wenye kipato, ye anaoa yoyote atakaempenda as anajiamini atahitaji msaada wa kipato kutoka kwa wife, so wadada wenye vipato msitulingie sisi kayumbas na kusubiri wadau, wadau wanaoa house wives