Karma : Jinsi matendo maovu na mema yanavyolipwa

Karma : Jinsi matendo maovu na mema yanavyolipwa

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,915
Reaction score
6,530
Mtu akifanya makosa anapelekwa motoni

Jehanam zipo nane;

Reviving,Black Line, Crushing, Howling, Great Howling,Heat, Intense Heat,na Ultimate Torment
Wauawaji wanapelekwa Reviving Hell. Hawa ndio wauaji waliomuua mtu mstaarabu.

Kuzunguka hii Reving Heli zipo hell nyingine. Kwamba Ile Reviving inazungukwa na satelaiti nyingine ambazo zote ni Jehanam.

Haya mambo tunaweza kuyajadili kesho.
 
Sasa wale waliomuuwa mzee kibao wanafit wapi hapo kaka wa taifa.
Mifano ya mauwaji bongo ipo mingi kaka wa taifa, haya twende kazi.
 
Huwa najiuliza je nafsi inaungua au mwili ndiyo huungua na kuhisi maumivu?

Ina weze kanaje mtu ume kufa umezikwa ukaoza kaburini na bado ukaungua motoni na kuhisi maumivu?
 
Kati ya hizo ni ipi alimopelekwa mzee tupatupa? namaanisha ile yenye mitungi na pis.
 
Zipo sayari kumi na nane zinaizunguka Reviving Hell:Swamp of Filth, Mutilation by Iron, Boiling Cauldrons, Relentless Torments, Darkness, Utterly Dreadful, Excruciating Pain, Universal Disease, Rain of Weapons,Intense Gram,Black Mongoose -Like, Mutation,Harmed by Pain, Garland of Lotuses,Pond,and Superior Harm

Anapelekwa Reviving Hell muuaji aliyemuua mtu mstaarabu,bila kuungama au kujuta,amemuua mtu mstaarabu aliyekuwa anaishi maisha ya nidhamu,kujisufu baada ya kufanya makosa kama hayo,kuyatenda tena na tena,kuwashawishi wengine waue,kuwahimiza,kuwashangilia,kuwathibitisha katika matendo hayo,kuwafundisha jinsi ya kuua,kuufurahi mambo hayo yakifanywa na wengine.,unapelekwa Reviving Hell.
 
Swamp of Filth anapelekwa mtu anayewinda kwa kutumia ndege,mtu anayewatumia dubu kuua dubu,au tai kuua tai,- au mtu anayewatega swala au kuwawinda.

Mutilation by Iron anapelekwa mtu anayetumia silaha kuua watu ili apate utajiri,kwa sababu ya biashara,au faida.
 
Zipo sayari kumi na nane zinaizunguka Reviving Hell:Swamp of Filth, Mutilation by Iron, Boiling Cauldrons, Relentless Torments, Darkness, Utterly Dreadful, Excruciating Pain, Universal Disease, Rain of Weapons,Intense Gram,Black Mongoose -Like, Mutation,Harmed by Pain, Garland of Lotuses,Pond,and Superior Harm

Anapelekwa Reviving Hell muuaji aliyemuua mtu mstaarabu,bila kuungama au kujuta,amemuua mtu mstaarabu aliyekuwa anaishi maisha ya nidhamu,kujisufu baada ya kufanya makosa kama hayo,kuyatenda tena na tena,kuwashawishi wengine waue,kuwahimiza,kuwashangilia,kuwathibitisha katika matendo hayo,kuwafundisha jinsi ya kuua,kuufurahi mambo hayo yakifanywa na wengine.,unapelekwa Reviving Hell.
Wewe mambo haya umeyatolea wapi na kule Vatican kwenye Maktaba ya maandiko haya wewe huruhusiwi kuingia?
 
Swamp of Filth anapelekwa mtu anayewinda kwa kutumia ndege,mtu anayewatumia dubu kuua dubu,au tai kuua tai,- au mtu anayewatega swala au kuwawinda.

Mutilation by Iron anapelekwa mtu anayetumia silaha kuua watu ili apate utajiri,kwa sababu ya biashara,au faida.
Haya endelea na zingine kwanza tusome hivyo hivyo
 
Huwa najiuliza je nafsi inaungua au mwili ndiyo huungua na kuhisi maumivu?

Ina weze kanaje mtu ume kufa umezikwa ukaoza kaburini na bado ukaungua motoni na kuhisi maumivu?
Kuna Movie moja ya kihindi inaitwa No Smoking itafute kisha iangalie mpaka mwishoni kuna jambo utaelewa yaan kuna Jehanamu hapa hapa Duniani na kuna Jehanamu huko unakoenda unachomwa hapa na unaenda kuchomwa huko ukikoswakoswa hapa basi utaenda kuchomwa huko, kuna kipande kinaonyesha unakufa kwa sababu ya kushindwa kutimiza jambo dogo tu mfano kumnyima masikini mwenye njaa anaekugongea kwenye kioo cha gari yako kisha akafa ikiwa wewe ulikua na uwezo wa kumsaidia asife ukamuacha afe siku ya hukuma TV kubwa linaonyesha matukio yako yote unatamani urudishe muda nyuma ili ubadirishe mambo ila ni ishakua too late huwezi kuurudisha muda nyuma mshale wa saa ukishaenda umeenda
 
Jehanam ya tatu kati ya zile zinazozunguka Reviving Hell ni Boiling Cauldrons. Huko wanapelekwa wale waliowachuna ngozi ngamia,nguruwe,sungura,na wanyama wengine kama hao .
 
Jehanam ya tatu kati ya zile zinazozunguka Reviving Hell ni Boiling Cauldrons. Huko wanapelekwa wale waliowachuna ngozi ngamia,nguruwe,sungura,na wanyama wengine kama hao .
Endelea mkuu ongezeko la Jehanamu
 
Okay wewe ume- anticipate jambo litakalosemwa sasa.

Wanadamu wenzako ukiwakasirisha wanaweza kukuadhibu adhabu za Reviving Hell. Reviving Hell imesemwa ndio unapelekwa kama umemuua mtu mstaarabu.
Adhabu hizo ni kuchanwachanwa vipande,kugeuzwa kuwa barabara,kuingia kumi na nane za mfalme,kuchomwa na sindano,kuvutwa na kamba,kuanguka chini kutoka kwenye mgongo wa tembo,kuwa katika dhoiruba ya mchanga,kupigwa na marungu,kupigwa mjeledi,kuumwa kichwa,kujisikia moto au baridi,kutupwa katika korongo,kukamatwa na maadui,kukatwa korodani,kukatwa vidole,kunyofolewa nywele,kutapeliwa,kutumbukizwa katika lead au shaba inayochemka,pua yako kuchomwa na kitu chenye ncha kali,tamaa zako za miwili kuongezeka,kuvishwa mashada yanayowaka moto,kukatwa ngozi,kuwekwa kizuizini,kukatwa mwili wako,kupikwa katika sufuria au chungu,kuunguzwa kama tofali,kusuguliwa chumvi kwenye majeraha,kufagiwa kwa ufagio,kuunguzwa,kukatwa vidole,kukatwa vidole gumba halafu kuchomwa moto,kulamimishwa kula pilipili nyingi,kumeza mapovu ya bahari thelathini,kupigwa na mikono na miguu,kupelekwa mbali,kung'olewa meno,kuunguzwa na mafuta,kupigwa kama dhahabu,kuvimba sana.

Kwa hiyo binadamu wenzako wanaweza kukuadhibu hizi adhabu za Reviving Hell lakini ukifa ukienda Relentless Hell hizi adhabu zitaongezeka mara mia.
 
Endelea mkuu hizo Jehanamu zipo Mbingu ya ngapi au zipo hapahapa duniani?
 
Okay wewe ume- anticipate jambo litakalosemwa sasa.

Wanadamu wenzako ukiwakasirisha wanaweza kukuadhibu adhabu za Reviving Hell. Reviving Hell imesemwa ndio unapelekwa kama umemuua mtu mstaarabu.
Adhabu hizo ni kuchanwachanwa vipande,kugeuzwa kuwa barabara,kuingia kumi na nane za mfalme,kuchomwa na sindano,kuvutwa na kamba,kuanguka chini kutoka kwenye mgongo wa tembo,kuwa katika dhoiruba ya mchanga,kupigwa na marungu,kupigwa mjeledi,kuumwa kichwa,kujisikia moto au baridi,kutupwa katika korongo,kukamatwa na maadui,kukatwa korodani,kukatwa vidole,kunyofolewa nywele,kutapeliwa,kutumbukizwa katika lead au shaba inayochemka,pua yako kuchomwa na kitu chenye ncha kali,tamaa zako za miwili kuongezeka,kuvishwa mashada yanayowaka moto,kukatwa ngozi,kuwekwa kizuizini,kukatwa mwili wako,kupikwa katika sufuria au chungu,kuunguzwa kama tofali,kusuguliwa chumvi kwenye majeraha,kufagiwa kwa ufagio,kuunguzwa,kukatwa vidole,kukatwa vidole gumba halafu kuchomwa moto,kulamimishwa kula pilipili nyingi,kumeza mapovu ya bahari thelathini,kupigwa namikono na miguu,kupelekwa mbali,kung'olewa meno,kuunguzwa na mafuta,kupigwa kama dhahabu,kuvimba sana.

Kwa hiyo binadamu wenzako wanaweza kukuadhibu hizi adhabu za Reviving Hell lakini ukifa ukienda Relentless Hell hizi adhabu zitaongezeka mara mia.
Endelea mkuu hizo Jehanamu zipo Mbingu ya ngapi au zipo hapahapa duniani?
Huyu anakwenda agera anaadhibiwa,halafu anazaliwa tena Duniani katika maisha ya mateso.
Karma yake akiilipa anarudi Duniani.
Na mtu naye anakufa anapenda Mbinguni,anastarehe: naye pia,wema wake mara nyingi ulikuwa ni wema mdogo si wa kumfanya yeye akae Mbinguni milele. Yeye pia wema ukiisha anarudi kuzaliwa Duniani. Lakini maisha yanakuwa mazuri; labda atakuwa Diwani au atakuwa tajiri.
Kufanya wema ni kila kitu. Ukiona mambo yako yanaanza kwenda vibaya ujue ndio "nauli yako imeishia hapo" lazima ufanye wema tena kama unataka kuishi vizuri.
Ndio watu wanafanya wema,wanahawa hela,wanaambiwa wanataka rushwa,hii inaleta utata kidogo.
Yaani atumie hela zake kichoyo,halafu ndiyo aitwe ana thawabu. Watu wanampeksheni huyo mgombea,wanajua akishachaguliwa hawamuoni tena.

Hii ni Buddhist Sutra inaitwa The Application of Mindfulness of the Sacred Dharma.
 
Hivi huwa mnatoa wapi hizi hekaya, nani aliwahi fika huko akarudi na ushahidi, uzuri vizazi vya siku hizi vinahoji kila kitu siyo wanakondoo
We unaogopa moto,nshakuona,hapo unatetemeka kusikia kuna moto wa kiama.😂😂😂
 
Back
Top Bottom