Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Karma anakaribia kuwamaliza watu CHADEMA. Alianza Zitto na wenzake kumtimua Chacha Wangwe nao wakatimuliwa.
Akaja Dr Slaa na akina Mdee kuwatimua Zitto na akina Kafulila nao leo wametimuliwa na Mbowe na Lissu nadhani sasa ni Kati ya Lissu na Mbowe ndio Karma anawafuata
Akaja Dr Slaa na akina Mdee kuwatimua Zitto na akina Kafulila nao leo wametimuliwa na Mbowe na Lissu nadhani sasa ni Kati ya Lissu na Mbowe ndio Karma anawafuata