Karim Benzema awasilisha kesi ya kashfa dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Staa wa soka Karim Benzema amefungua mashtaka ya jina lake kudhalilishwa dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa, Gérald Darmanin ambaye alimtuhumu kuwa na uhusiano na Kundi la Muslim Brotherhood ambalo limepigwa marufuku katika Nchi kadhaa zikiwemo Misri, Urusi na Saudi Arabia.

Oktoba 2023, Darmanin alitoa mtazamo wake huo baada ya Benzema kutumia ukurasa wake wa Twitter kuandika anaunga mkono watu wa Gaza kutokana na kuathiriwa na vita inayoendelea baina ya Israel na Hamas ambapo alieleza Watoto na Wanawake ni waathirika Wakubwa.

Benzema (36) ambaye anacheza soka Saudi Arabia alikanusha tuhuma za Darmanin na katika maelezo ya mashtaka yake amesema umaarufu wake unatumiwa vibaya kisiasa.

Hiyo si mara ya kwanza kwa Darmanin kumshambulia kwa maneno Benzema, aliwahi kufanya hivyo akidai aligoma kuimba Wimbo wa Taifa wa Ufaransa alipokuwa akiichezea timu hiyo.

==============

Karim Benzema files defamation suit against French interior minister

French football star Karim Benzema has filed a defamation lawsuit against France's interior minister for accusing him of having links with the Muslim Brotherhood, local media reports.

Gérald Darmanin said in October that Mr Benzema "has a notorious link" with the Sunni Muslim Islamist group.

The comment "undermines" his honour and reputation, Mr Benzema's lawyer said.

The Muslim Brotherhood is banned in several countries, including Egypt, Russia, and Saudi Arabia.

Mr Darmanin's comment in October came after the player tweeted his support for the people of Gaza as "victims again of unjust bombardments which spare neither women nor children".

Noting his failure to express similar sympathy for the estimated 1,300 Israeli victims that Hamas killed on 7 October, Mr Darmanin said the former French striker was "well-known for his links with the Muslim Brotherhood".

"We are fighting the hydra that is the Muslim Brotherhood, because it creates an atmosphere of jihadism," the politician told conservative TV channel CNews.

Karim Benzema, 36, who plays in Saudi Arabia and is a Muslim, quickly issued a denial and threatened legal action against the minister for slander.

In his 92-page complaint, reported widely in French media on Tuesday, he says he "has never had the slightest link with the Muslim Brotherhood organisation, nor to (his) knowledge with anyone who claims to be a member of it".

The former Real Madrid star added: "I am aware of the extent to which, because of my notoriety, I am being used in political games, which are all the more scandalous given that the dramatic events since October 7 deserve something quite different from this type of statement."

His lawyer Hugues Vigier told French outlet RTL that the footballer is the victim of "political exploitation" and accused the interior minister of "sowing division in France".

Mr Darmanin has previously targeted Karim Benzema for other reasons, including his refusal to sing the French national anthem and his "proselytising on social networks".

The Muslim Brotherhood was founded about 80 years ago in Egypt. It has provided the rationale for many modern-day Islamist organisations, including Hamas.

Primarily an ideological movement with no formal structure, and while it is banned in many countries, it is not restricted in most of the European Union.

The group's influence in Europe is mainly seen via front organisations which campaign for Islamic causes like the right of women to wear head-coverings.

Source: BBC
 
Benzema kwa muonekano tu ni mtu mwenye itikadi kali hafai kuchekewa wambinye manyanga

Ila nampenda sana akiwa uwanjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom