Karibuni wadau tupeane kampani. Msijitenge sana

Karibuni wadau tupeane kampani. Msijitenge sana

Sipendi kuwa na majivuno ndugu yangu ndo maanna huwa siwatajii mshahara wangu zaidi zaidi nawaambia tu ni zaidi ya milion 40 kwa mwezi ukiacha marupurupu kibao na safari za nje ya nchi kila mara.hata napowaaambia magari yangu nawaambia si kwa kujivuna ni katika kuelezea tu.

Pamoja sana mkuu..
Wewe ni boss usie na majibuno..unawatia watu hasira nao wakasake watumie as you Do
 
Hili jambo huwa linaniumiza na sipendi kabisa kulifikiria. Linaumiza moyo sana.nawaza inakuaje?au alikuwa analipwa kamshahara ka milion 20? Sijui nmemwangalia na ule mwili nikaona serikali haijamtendea haki kabisa kuendesha kausafiri. Alipaswa awe na gari kiuhalisia.nmeona siku ile mpaka machozi yalinitoka.

Mkuu Prof. Assad ana IST unamwonaje?? Na alikuwa CAG. Toa neno.
 
Napenda mtu ambaye angalau ana diploma ya Hotel Management. Kama una degree ni vizuri zaidi. Unalipwa salary na unalipiwa bima ya afya pia.
Stahiki zako zote unapata ikiwepo likizo kila mwaka na pesa ya likizo.


😅😅 bas vigezo vimetimia..vipi nami naweza kuwa naenda jiachia kidg😅?mie mradi nipate pakulala na kula!basi!
 
Hhaaa ntajua ntafanyaje..mradi nipate hili zari!kwan kwenu mko wangap mkuu?
Sisi tupo watatu tumepanga chumba na sebule kwenye banda la uani tandale kwa tumbo.
Ila usijali naweza nikaongea na Kiduku Lilo akakupa hio ajira ila utapaswa uishi kwenye sevant kota yake hapo ostabei.
Vipi leseni unayo maana utakua unaenda kununua mahitaji ya sokoni na ile ford ranger.
 
Sisi tupo watatu tumepanga chumba na sebule kwenye banda la uani tandale kwa tumbo.
Ila usijali naweza nikaongea na Kiduku Lilo akakupa hio ajira ila utapaswa uishi kwenye sevant kota yake hapo ostabei.
Vipi leseni unayo maana utakua unaenda kununua mahitaji ya sokoni na ile ford ranger.


Hhahaaa leseni nnayo..ila imeexpire!sio mbaya atanisaidia kirenew
 
Hhahaaa leseni nnayo..ila imeexpire!sio mbaya atanisaidia kirenew
Usijali mkuu kurinyuu sio kazi
Ila ingekua vzr tukajua kama una uzoefu wowote wa kuendesha gari au hua unaendeshaga tu vyombo vya usafiri?
Kiduku Lilo anaposema gari hua anamaanisha Yuropian kaa(Renji rova, fodi renja, vokswagen amarok, Gmc n.k) na chombo cha usafiri ni japaniz kaa hizi toyota, nissan n.k
 
Huhitaji mtu wa kumwachia geto unapokuwa kwenye misele yako washington, London, Oslo, Singapore na kwingineko..
 
"Member mmoja wa JF alifanikiwa kufika kwangu two weeks ago, maskini alitokwa na machozi ya furaha. Friji yangu anasema ni kama chumba kidogo"
dah!!!!aiseee.....
Huyo member sijui ana hali gani huko aliko
 
Usijali mkuu kurinyuu sio kazi
Ila ingekua vzr tukajua kama una uzoefu wowote wa kuendesha gari au hua unaendeshaga tu vyombo vya usafiri?
Kiduku Lilo anaposema gari hua anamaanisha Yuropian kaa(Renji rova, fodi renja, vokswagen amarok, Gmc n.k) na chombo cha usafiri ni japaniz kaa hizi toyota, nissan n.k


Naendesha vyombo vya usafiri mkuu😅
 
Back
Top Bottom