mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 996
Poa mkuu nispochaguliwa nitafight niwe hata auxiliary au hata mpishi cafeJoin group tuzid kujuzana zaid mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu nispochaguliwa nitafight niwe hata auxiliary au hata mpishi cafeJoin group tuzid kujuzana zaid mkuu
Hapo tegemea geomatics au civil tena kwa bahati sana ,endelea kuomba mungu.Nimesoma pgm nimechagua geology,mechanical,cvl,architecture na geomatics
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutumia pm ko naomba uni addTuma namba nikuadd kama link inagoma
Eeee kwani umepiga comb gani?
Poa mkuu nispochaguliwa nitafight niwe hata auxiliary au hata mpishi cafe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani UDSM wametoa majina ya multiple selection? Kama ni hivyo niombe link au hiyo document.walichaguliwa majina yanatoka lini wale single selection??
Naambiwa unaingia kwenye page uliyo ombea, ukifika ndani check SELECTION RESULTS utapata jibu. Lakini bado nategemea watatoa orodha ingawa hamna sababu ya kusubiri-jngia tu mtandao wa UDSM.