Karibuni Tabora asali inakotokea

Karibuni Tabora asali inakotokea

Ulimholaaa ......

Poleni kwa kukazwa na vyuma basi mie leo nawakaribisha Tabora kwetu mle karanga na asali, matobolwa, mahama na mziki wa kinyamwezi juu.

View attachment 654603
Karibuni karanga...

View attachment 654605
Jisevie mwenyewe karanga na asali kwa raha zetu wanyamwezi na standard gauge ndo hiyoo inakuja hata kama ni baada ya miaka 10 ijayo....




Najivunia kuwa mnyamwezi aliyechovyea Tanga. Mashika mashika mashilongo hoyeeeee.

Koolooompaaaa.

NB: leo tangu asubuhi kuna kisa cha kweli natamani kukisimulia ila roho inasita. Basi wacha nimtakie mhusika wa hicho kisa heri ya siku ya kuzaliwa, leo tarehe 19.12.2017.... iko siku nikipata kibali ntaeleza hapa yote moyo wangu uwe huru, maana ulinitafuta mwenyewe mwaka huu.

Kasie Mahabat Matata Motoo.

Kumbe nandugu huku,najivunia kuwa mnyamwezi wa chabutwa na skonge
 
Oooh safi sana, kote huko kuna ndugu zangu..... nikielezea sana ntaanika mchele upenuni. Mke huwa naenda kila nikipata off hata ya siku 3 maana likizo huwa nadakwa juu kwa juu hehehehe.
Anakudaka Nani Kasie au yule kibabu wa Singapore
 
Hahaa.. haina haja kuweka wazi, muhimu nimefurahi kumjua mtu ninaetoka nae sehemu moja.

Nami nimefurahi kuwafahamu wanyamwezi wenzangu. Tabora mojaa, malkia mwenyewe (Queen Elizabeth) alitukubali alifika hadi Tabora miaka hiyo hapana chezea asali hehehehe.
 
Hata sijui anaitwa nani mie huwa naupenda sana huu wimbo, pale unapopigwa nikipata nafasi ya kuucheza naucheza vizuri huku nikiringa na kujinyonga kinyamwezi hahahahahaha raha sana.

I love being nyamwezi.
Ooh,mkuu unAonekana upo vzr kwenye sekta hiyo,it is my great wish nikuone siku moja ukicheza
 
Sikonge- FDC, kuna yeyote humu wa mtaa huo?

Nna ndugu wengi Sikonge japo siku nyingi sijaenda. Shangazi na baba wadogo wameambaa maeneo mbali mbali ya Tabora.
 
Ulimholaaa ......

Poleni kwa kukazwa na vyuma basi mie leo nawakaribisha Tabora kwetu mle karanga na asali, matobolwa, mahama na mziki wa kinyamwezi juu.

View attachment 654603
Karibuni karanga...

View attachment 654605
Jisevie mwenyewe karanga na asali kwa raha zetu wanyamwezi na standard gauge ndo hiyoo inakuja hata kama ni baada ya miaka 10 ijayo....




Najivunia kuwa mnyamwezi aliyechovyea Tanga. Mashika mashika mashilongo hoyeeeee.

Koolooompaaaa.

NB: leo tangu asubuhi kuna kisa cha kweli natamani kukisimulia ila roho inasita. Basi wacha nimtakie mhusika wa hicho kisa heri ya siku ya kuzaliwa, leo tarehe 19.12.2017.... iko siku nikipata kibali ntaeleza hapa yote moyo wangu uwe huru, maana ulinitafuta mwenyewe mwaka huu.

Kasie Mahabat Matata Motoo.

Asali ya Tabora imejaa Tumbaku.
 
Ooh,mkuu unAonekana upo vzr kwenye sekta hiyo,it is my great wish nikuone siku moja ukicheza

Hehehehehehehee na siku ukifanikiwa kuniona nacheza hutochoka kunitazama na hutotaka kuacha kuniangalia mara kwa mara nikiwa nacheza....... maana huwa nacheza kuanzia ndani kisha movement zinazotokea nje nini auto hata mie mwenyewe huwa najishangaa.
 
Back
Top Bottom