Hahahahahaa kumbe wewe ni mnyamwezi mwenzangu hehehehehehee mwangalukah! Ulimholaaa. ....
Kwetu ni karibu na Itigi unatembea kwa miguu tuu.
Wamilemoo Nokia.
Afu madam miaka yote najuaga wewe mkenya ko hata article zako nazisomaga kwa tonic ya kiswahili ya Kenya kumbe we ndo mnyamwezi mwenyewe
Jina lako na namna unavyoandikaga nilikuwa nakuassume hvy madamHahahahahhaa kwanini ukafikiri mie ni mkenya? Hivi hata maandishi yanaweza kumfanya mtu akatambulika lafudhi yake eeh....
Kweli ni kubwa!! Mie nilizaliwa hapo kitete kwa marehemu baba yangu ni ng'ambo na bimkubwa wangu ilikuwa ni kota za chuo cha ardhi.. ila niliondoka bado mdogo saana baada ya mama yangu mzazi kuhamisjwa kikazi..Tabora ni kubwa sana, kwetu ni karibu na Itigi unatembea tuu kwa miguu. Wewe je kwenu ni sehemu gani?
Weeh umeanza.... utapigwa mtama shauri yako....
Kweli ni kubwa!! Mie nilizaliwa hapo kitete kwa marehemu baba yangu ni ng'ambo na bimkubwa wangu ilikuwa ni kota za chuo cha ardhi.. ila niliondoka bado mdogo saana baada ya mama yangu mzazi kuhamisjwa kikazi..
Ila itigi ni sehemu maarufu kichwani maana marehemu bibi yangu katika stori zake alikuwa akiitaja saana sehemu hiyo
Kwakuwa niliondoka mdogo tangu mwaka jana nilianzisha utaratibu wa kutembelea tabora, kuona maeneo ambayo ni chimbuko langu na kudhuru kaburi la marehemu baba yangu.. so kila ifikapo mwezi wa 10 nakiwa nakuja tabora kuanzia mwaka jana, kwa mwaka huu ndio nimerudi kama wiki 2 hv toka huko tabora
Na maeneo ambayo huwa naenda na kutembelea ni
Isevya, itetemya, national, ng'ambo, ipuli, kazima, mwanza road, kanyenye, pangale na urambo.
Na chemchemKweli ni kubwa!! Mie nilizaliwa hapo kitete kwa marehemu baba yangu ni ng'ambo na bimkubwa wangu ilikuwa ni kota za chuo cha ardhi.. ila niliondoka bado mdogo saana baada ya mama yangu mzazi kuhamisjwa kikazi..
Ila itigi ni sehemu maarufu kichwani maana marehemu bibi yangu katika stori zake alikuwa akiitaja saana sehemu hiyo
Kwakuwa niliondoka mdogo tangu mwaka jana nilianzisha utaratibu wa kutembelea tabora, kuona maeneo ambayo ni chimbuko langu na kudhuru kaburi la marehemu baba yangu.. so kila ifikapo mwezi wa 10 nakiwa nakuja tabora kuanzia mwaka jana, kwa mwaka huu ndio nimerudi kama wiki 2 hv toka huko tabora
Na maeneo ambayo huwa naenda na kutembelea ni
Isevya, itetemya, national, ng'ambo, ipuli, kazima, mwanza road, kanyenye, pangale na urambo.
Hahaa.. haina haja kuweka wazi, muhimu nimefurahi kumjua mtu ninaetoka nae sehemu moja.Oooh safi sana, kote huko kuna ndugu zangu..... nikielezea sana ntaanika mchele upenuni. Mke huwa naenda kila nikipata off hata ya siku 3 maana likizo huwa nadakwa juu kwa juu hehehehe.
Huyo mzee hapo kwenye hiyo video hus anaitwa nani ? Ni mwana kilimanjaro band