nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
mfumo wa application wa chuo hiki online hauko vizuri kabisa. nilitamani niapply chuo hiki lakini mpaka deadline inafika mfumo wao haukuwahi kufunguka.
Mue mnaingia mtandaoni kuangalia msiwe mnasema ovyo ni course baadhi wamezuiliwa kudahil sio zote mbona hata UDOM kuna baadhi ya koz hawadahili mwaka huu wamefungiwa na TCUAcha kuwadanganya Watanzania wewe. Chuo hiko kanjanja kimepigwa kufuli na TCU kisidahili wanafunzi mwaka wa masomo 2017/2018 katika kampasi zake za Msalato na Marks. Sasa unataka wanafunzi waende huko kulima maboga na kupika chimpungu?
Nakuunga mkono manCampus ya st john mazengo main campus iko waziii haijafungiwa mkuu fatilia mambo acha kukurupuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaona anakuboa si ufunge data nduguNi udahili wa senene au watu wenye akili? Yaani nipoteze muda na fedha zangu kwenda chuo chenye mashaka wakati vyuo vya uhakika vipo!!!
Main campus wamezuia course za biashara pekee, kwa pharmacy na nursing udahil haukuzuiwaAcha kuwadanganya Watanzania wewe. Chuo hiko kanjanja kimepigwa kufuli na TCU kisidahili wanafunzi mwaka wa masomo 2017/2018 katika kampasi zake za Msalato na Marks. Sasa unataka wanafunzi waende huko kulima maboga na kupika chimpungu?