sir doctor
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 291
- 66
- Thread starter
- #21
Yeah ni chache pharmacy tunapokea wanafunzi 37 tuNafasi chache acheni kutangaza ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ni chache pharmacy tunapokea wanafunzi 37 tuNafasi chache acheni kutangaza ..
Zilifungiwa baadhi ya Compus zake ambazo ni hizo ulizo taja hapo lakini main Compus bado inatoa huduma.Acha kuwadanganya Watanzania wewe. Chuo hiko kanjanja kimepigwa kufuli na TCU kisidahili wanafunzi mwaka wa masomo 2017/2018 katika kampasi zake za Msalato na Marks. Sasa unataka wanafunzi waende huko kulima maboga na kupika chimpungu?
Mkuu umelipwa sh ngapi kwa porojo zako hizo..!Hello group kwa wale form six wanaopenda kusoma kozi hasa za afya karibu chuo kikuu cha st john university
Bachelor of pharmacy
Bachelor of science in nursing nafazi ni chacheee
Niulize chochotee nitakujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
mnatangaza za nini ikiwa ni chache
Ndo kawaida ya matangazo mkuu, lengo ni kuvuta watu tena mapema/kwa haraka ..mnatangaza za nini ikiwa ni chache
Ni moja kati ya vyuo vbovu ambavyo serikali imeviacha vidahili chuo kina walimu wakuunga unga unakuta internal medicine eti anafundisha anatomy na chuo kimejaa rushwa kuanzia ya pesa mpaka ya ngono na hawakemew especially hyo pharmacy anayosoma nawashaur kwa mabinti wanaotaka kuxoma pharmacy hapo kama unapesa ya kuhonga kaxome au kama uko tyr kutoa rushwa ya ngono kaxome najua muanzsha thread anayajua hayo yoteHello group kwa wale form six wanaopenda kusoma kozi hasa za afya karibu chuo kikuu cha st john university
Bachelor of pharmacy
Bachelor of science in nursing nafazi ni chacheee
Niulize chochotee nitakujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee embu limehen swala la mwalmu wenu wa physical chemistry kuomba rushwa ya ngono na pesa ili mtu upite jina lake nmelhfadh tu ila jambo hl linaniumaga xn isitoshe inasemekana lecture huyo ni mwathirika lkn kazi yake ni kuomba rushwa ya ngono kwa mabinti ili upite na jambo liko wazi na uongoz wa chuo haumkemeiTCU WANADAI HAKUNA WALIMU WA KUTOSHA JAPO NI UKAGUZI WA SIKU NYINGI SASA HV KUNA WALIMU WA KUTOSHA HVO WIKI HII KUNA KIKAO NA TCU NA CHUO HUENDA WAKARUHUSU UDAHILI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tukifuata ushauri wako basi hakuna sababu ya kuomba UDSM na vyuo vingine ambavyo program zao at least moja imezuiwa kudahili na TCU!!!!!!Haina maana yoyote hiyo. What is main campus wakati matawi yote ni ukanjanja mtupu? Mwongozo wanapata wapi? Like Father like Son. Usipoteze muda kusoma chuo cha makanjanja wakati kuna credible universities hapa nchini.
Internal medicine ndo nani?Ni moja kati ya vyuo vbovu ambavyo serikali imeviacha vidahili chuo kina walimu wakuunga unga unakuta internal medicine eti anafundisha anatomy na chuo kimejaa rushwa kuanzia ya pesa mpaka ya ngono na hawakemew especially hyo pharmacy anayosoma nawashaur kwa mabinti wanaotaka kuxoma pharmacy hapo kama unapesa ya kuhonga kaxome au kama uko tyr kutoa rushwa ya ngono kaxome najua muanzsha thread anayajua hayo yote
Sent using Jamii Forums mobile app